Upo sahihi kabisa, lakini mm mwenyewe nimeona watu wanaosumbuliwa na issue kama za huyu lakini mimi sihitaji hata hamsini yake ndo maana sikuweka namba ama mawasiliano mkuu! Ila ni kwenye kumsaidia tuu..... Nipo humbled
Tunatofautiana kwenye namna ya kuelewa vitu mkuu 👊