hicho kitu nilikijua tangu siku ya kwanza walivyoanza operation yao uchwara
Nilijua kabisa walikuwa wanataka upepo wa matokeo mabovu upite na kweli umepita na vita yao feki kuhusu matumizi ya dawa za kulevya inaenda kuisha
Hii ndio TZ bhana ,maneno mengi utekelezaji sifuri