Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Nasikia Maria kaendesha mkutano wa watu elfu 6 huko Twitter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingieni barabarani makamanda mkichafue [emoji1787]
Hawa jamaa vichwani empty kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Maria kaendesha mkutano wa watu elfu 6 huko Twitter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingieni barabarani makamanda mkichafue [emoji1787]
Huyo mjaluo Maria alinishaniblock Twitter.Nasikia Maria kaendesha mkutano wa watu elfu 6 huko Twitter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa vichwani empty kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga yule!Huyo mjaluo Maria alinishaniblock Twitter.
Siku hizi ni msukule wa makengeza Mbowe akiwa nyuma ya keyboard.
Sasa kama kaendesha mkutano wa watu elfu 6 watu BUKU tu wa kukinukisha barabarani wamekosekana.
Giza likizidi ujue kunakuchaKuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao.
Ni suala la muda tu, CCM your days are numbered. Take it from me nawaambia! Kila kitu kitawakataa....
Sijawahi kusema neno na lisitimie.
Nikiwa hai au mfu mtayakumbuka haya maneno. Ringieni Polisi na Usalama kwa Mara ya mwisho mwisho. Nasema ringeni na Polisi kwa Mara ya mwisho mwisho.
I am done
Hivi wewe jamaa mbona mjinga sana.huwezi kujibu hoja kistaarabu hadi uzungumzie ulemavu wa mtu?.Usijifanye umekamilika sana hadi ukejeli maumbile ya mtu,jinga wewe.Inaonekana umetiwa sana vidole vya kinyeo ndo maana unawashwa na mbowe.Kama kinyeo kinakuwasha njoo ata mimi nikukune sio lazima mbowe.Huyo mjaluo Maria alinishaniblock Twitter.
Siku hizi ni msukule wa makengeza Mbowe akiwa nyuma ya keyboard.
Sasa kama kaendesha mkutano wa watu elfu 6 watu BUKU tu wa kukinukisha barabarani wamekosekana.
🤣🤣🤣 makengeza mbowe ameshapewa cha asubuhi na Sabaya. Kumbe makengeza mbowe ni mlemavu, sikujuaHivi wewe jamaa mbona mjinga sana.huwezi kujibu hoja kistaarabu hadi uzungumzie ulemavu wa mtu?.Usijifanye umekamilika sana hadi ukejeli maumbile ya mtu,jinga wewe.Inaonekana umetiwa sana vidole vya kinyeo ndo maana unawashwa na mbowe.Kama kinyeo kinakuwasha njoo ata mimi nikukune sio lazima mbowe.
Yeah ni kweli kabisa ni empty Hasa wale waliosema msiba wa Mwendazake ulitizamwa na watu billion 100Nasikia Maria kaendesha mkutano wa watu elfu 6 huko Twitter [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa vichwani empty kabisa
Haya matusi tunayahidhi for future use! Tukana tu, tutakapoweka Ushoga wa Mashoga wenu wa CCM akina Shaka nadhani mtafurahi🤣🤣🤣 makengeza mbowe ameshapewa cha asubuhi na Sabaya. Kumbe makengeza mbowe ni mlemavu, sikujua
Tulia tu Mpwa, muda wao utafika! Usiwe na shida! Tutawakumbusha fiercely.Hivi wewe jamaa mbona mjinga sana.huwezi kujibu hoja kistaarabu hadi uzungumzie ulemavu wa mtu?.Usijifanye umekamilika sana hadi ukejeli maumbile ya mtu,jinga wewe.Inaonekana umetiwa sana vidole vya kinyeo ndo maana unawashwa na mbowe.Kama kinyeo kinakuwasha njoo ata mimi nikukune sio lazima mbowe.
Nd[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga yule!
Alafu mibavicha inajisifu wakati Diamond tu akiitisha space yake sasa hivi itahudhuriwa na watu nusu milioni
We ccm?.Tatizo makamanda ni waoga sana, Mkiti anakamatwa bila hata kufuata utaratibu kama kibaka nyie mnaishia kuandika jf, mmeshindwa hata kukusanya watu elfu 10 tu kuingia mtaani kumdai Mkiti? Hao waTZ wanaowaunga mkono wako wapi?
Diamond?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga yule!
Alafu mibavicha inajisifu wakati Diamond tu akiitisha space yake sasa hivi itahudhuriwa na watu nusu milioni
Nop, mimi sipo upande wowoteWe ccm?.
Tunafungua kesi mahakamani mkuu leo,.Nop, mimi sipo upande wowote
Ni sawa, ni haki yenu, ila hamna nchi ambayo chama tawala kinaongoza kwa matakwa na mashinikizo ya chama cha upinzani, hilo linaweza tokea iwapo tu mna wabunge wa kutosha kuzuia miswada isipite bungeni. Samia anaongoza kwa kufuata ilani na matakwa ya chama chake kilichomfanya awe hapo alipo, hilo ni ngumu kumeza ila ndiyo ukweli. You cant separate her from CCM. Zaidi ya hapo kila siku mtasuguana na vyombo vya dola, subirini muda wenu ukifika wa kuongoza then mtaimplement mnayoyatakaTunafungua kesi mahakamani mkuu leo,.
Mama kauvagaa mkenge.
Ni maombi ya muda mrefu bila shaka yatafanana na yale ya Wapelestina kwa Waizrael.Kuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao.
Ni suala la muda tu, CCM your days are numbered. Take it from me nawaambia! Kila kitu kitawakataa. Sijawahi kusema neno na lisitimie.
Nikiwa hai au mfu mtayakumbuka haya maneno. Ringieni Polisi na Usalama kwa Mara ya mwisho mwisho. Nasema ringeni na Polisi kwa Mara ya mwisho mwisho.
I am done
Mda Wetu Wa kuongoza utafikaje ,kwani kuna kupokezana kijiti?,.Ni sawa, ni haki yenu, ila hamna nchi ambayo chama tawala kinaongoza kwa matakwa na mashinikizo ya chama cha upinzani, hilo linaweza tokea iwapo tu mna wabunge wa kutosha kuzuia miswada isipite bungeni. Samia anaongoza kwa kufuata ilani na matakwa ya chama chake kilichomfanya awe hapo alipo, hilo ni ngumu kumeza ila ndiyo ukweli. You cant separate her from CCM. Zaidi ya hapo kila siku mtasuguana na vyombo vya dola, subirini muda wenu ukifika wa kuongoza then mtaimplement mnayoyataka