life is good....thanks for the thread my brother.Yani kuna ile siku hukua na kazi nyingi, mfukoni pako vizuri, jioni bia mbili hivi uhakika..
by saa moja umeisha ingia bafuni, unaweka mwili safi, then unatupia unyama flani hivi ambao huwa unauaminia sana..
unawakaaaa yani.
simu ina bado hadi la hakiba..
Unamaliza kula msosi mzuri by saa 2 then unashika simu ndipo inaingia massage ya bebi... "where you mr ?[emoji91] [emoji91] " [emoji2][emoji7]
Just a good dey ma nigga [emoji1739][emoji1783][emoji855]
Kweli, for others don't have love sellsLoVe is a complicated word.
Just i love sex.
sometimes π
Wengine bado tunataabikaJf bana asilimia kubwa watu mambo safi. Sisi wachache ndo tuna shida
Wengine bado tunataabikaJf bana asilimia kubwa watu mambo safi. Sisi wachache ndo tuna shida