#COVID19 Kuna siku Watanzania watapanga foleni za kilomita kadhaa ili kuchanja

Kichanja ni hiyari siyo lazima, JJ ONE Million zilizokuja hata laki 5 hazijaisha
Sababu tumegeuka wafuasi wq Kibwetere kumfuata Gwajima na tumeshikiwa akili na Magufuli aliyetuambia chanjo haifai.
 
Sababu tumegeuka wafuasi wq Kibwetere kumfuata Gwajima na tumeshikiwa akili na Magufuli aliyetuambia chanjo haifai.
Acha kumuhusisha magufuli na akili yako ya kushikiwa ,mbuzi maji wewe....
 
Sasa kwanini watu wasitake chanjo sasa hivi ili kuepuka hivyo vifo? kwanini unaona baadaye ndio watakimbilia hizo chanjo?
Anamaanisha wakishakufa ndio akili zitawaingia na kukurupuka kwenda kuchanjwa!!
 
Wewe unaakili kuliko mamilioni ya wamarekani, waingereza, wajerumani, etc waliochanja?
Wewe unaakili kuliko mamilioni ya hukohuko wanaopinga chanjo?Hivi huwa unafuatilia mambo au unapenda kusikia tu yanayokufurahisha?Unajua hadi sasa ni 300k ya watanzania ndio wamechanjwa kati ya 60M?Huoni mamilioni ya watanzania wamegoma?
 
Mtasubiri sana,maana vifo vinavyoendelea kutokea kwa watu wenye uwezo wa kuchanja ukilinganisha na wazee
masikini hoe hae wasio na uwezo,vinaacha sintofahamu nyingi badala ya majibu.
Hivyo tuendelee kuiheshimu kauli mbiu ya serikali kwamba kuchanja ni hiari. ukijisikia kuchanjwa kachanje na ukijisikia kusubiri ,subiri
kikubwa tuendelee kumwomba Mungu,kunawa mikono kwa maji tiririka na kuvaa barakoa inapobidi.
 
Wewe unaakili kuliko mamilioni ya hukohuko wanaopinga chanjo?Hivi huwa unafuatilia mambo au unapenda kusikia tu yanayokufurahisha?Unajua hadi sasa ni 300k ya watanzania ndio wamechanjwa kati ya 60M?Huoni mamilioni ya watanzania wamegoma?
Marekani wamechanja zaidi ya 6
Wewe unaakili kuliko mamilioni ya hukohuko wanaopinga chanjo?Hivi huwa unafuatilia mambo au unapenda kusikia tu yanayokufurahisha?Unajua hadi sasa ni 300k ya watanzania ndio wamechanjwa kati ya 60M?Huoni mamilioni ya watanzania wamegoma?
Duniani kote asilimia 41 ya watu wamechanjwa. Kwa siku watu milioni 30 wanachanjwa. Wewe unaakili kuliko wote hao. Asilimia 89 ya wakazi wa UAE ni wajinga ila weww unaakili.

 
Marekani wamechanja zaidi ya 6
Duniani kote asilimia 41 ya watu wamechanjwa. Kwa siku watu milioni 30 wanachanjwa. Wewe unaakili kuliko wote hao. Asilimia 89 ya wakazi wa UAE ni wajinga ila weww unaakili.

View attachment 1934790
Achana na hizi Propaganda. Search huko you tube uone wanaopinga chanjo huko Ulaya. Lkn pia njoo Tz hapa uone wanaopinga chanjo.
 
Hiari wakati mmezuiwa kuingia uwanjani.
 
Achana na hizi Propaganda. Search huko you tube uone wanaopinga chanjo huko Ulaya. Lkn pia njoo Tz hapa uone wanaopinga chanjo.
Unaangalia conspirancy theorist wa you tube!! Yaani source yako ya habari yakuaminika ni youtube!!. Na unaakili kuliko asilimia 62 ya wamarekani waliochanja.
 
Achana na hizi Propaganda. Search huko you tube uone wanaopinga chanjo huko Ulaya. Lkn pia njoo Tz hapa uone wanaopinga chanjo.
Tanzania watu wanapinga chanjo sababu ya ujinga.
 
Unaangalia conspirancy theorist wa you tube!! Yaani source yako ya habari yakuaminika ni youtube!!. Na unaakili kuliko asilimia 62 ya wamarekani waliochanja.
Yaani unaona watu wanaandamana tena maelfu we unasema conspiracy theorists hahahahhah. Yaani kilichokinyume na Propaganda za Corona ni conspiracy?
 
Huko Ulaya wanapinga chanjo sababu ya nini?Unataka kusema zaidi ya watanzania 69M ni wajinga?
Kwni watz wote wanapinga chanjo? Ni wajinga tu walioamini habari za Gwajima na Magufuli. Kuwa chanjo haifai. Mara wanawekewa microchip. Mara watakuwa mazombie. Mara inawasajili. Sasa huo si ujinga tu!!
 
Hiari wakati mmezuiwa kuingia uwanjani.
mechi hii ni ya kimataifa,ni sawa na kusema unataka kwenda nchi za watu bila kufuata masharti ya nchi zao.
ndo maana wachezaji wamechanjwa ili kukidhi vigezo vya kushiriki hayo mashindano.
 
mechi hii ni ya kimataifa,ni sawa na kusema unataka kwenda nchi za watu bila kufuata masharti ya nchi zao.
ndo maana wachezaji wamechanjwa ili kukidhi vigezo vya kushiriki hayo mashindano.
Point yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…