Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Texas mpaka tz-machame nimemiss home kwa kweli nawatakia sikukuu njema wachaga wenzangu wote i love all we are together
 
Umekuja na nini here we talk about brain kama huna wewe huwezi kuheshimikA
 
Khaaaa.....
Yani ndo paka uandike jf?? Kweli Wewe mzigo huko kwa obama
 
I love all we are together ?? Aisee usirudi tena Texas baki tu Nronga
 
Mkuu nakuja mo town kesho,utanionesha dolali ulizotuwa nazo usiende bureau change mapema ok.Nizione zilivo tu.
 
siku hizi wachaga mmekua kama watu wa kanda ya ziwa mpakani mwa uganda
 
Naona unachanganya na cha kwa Obama, ili kuweka ushahidi ulikuwa kule. Hapo utakuwa umeokota dodo chini ya mnazi.
 
Hebu tulia hapa mjini utafute pesa..umeshachelewa😉

Pesa nimetafuta mwaka mzima.......sasa hivi ni wakati wa kunyofoa bunda bunda na kutumia taratibu........kupongezana na kuweka mezani nini umefanya mwaka mzima......kama ulishoia imekula kwako........
 
Back
Top Bottom