nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Ujinga umefika ! Unalala na mke wa mwanao ? Kama siyo uchawi nini ?
Povu kama lote, usije jinyonga kisa wachaga, au ww gagula nn!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu kama lote, usije jinyonga kisa wachaga, au ww gagula nn!
Bora umesema ukweli, maana humu huwa tunaongopewa vibaya mno,,,, kwani ukisema ukweli utaharibikiwa nini!! AsanteMimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Pambafu acha kuita makabila mengine ya hovyohovyoHuu uzi wasukuma na makabila mengine ya hovyo hovyo watahara Sana. Wachaga hoyeeew. Kabila takatifu.
Pambafu acha kuita makabila mengine ya hovyohovyo
Family first bro, maendeleo bila ya kuzungukwa na uwapendao/wakupendao it's nothing!Ukiwajua ndugu na lugha yako inakuletea maendeleo kiasi gani?
Sawa Klm pabaya ukilinganisha na wapi kama siyo chuki binafsi na watu wa Klm, ukizeeka ww utakuwa gagula wa hatari!Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Kwani Klm imeboka ndo tukajenge? Pengine huna takwimu za kiuchumi, kijamii juu ya maendeleleo ya Klm ukilinganisha na wengine.kwanini mnakukimbia?
mngebaki muishi na kuijenga Kilimanjaro
Unibeep basi nikugawie kilo moja unusu ya ile keki yetu pendwa....tuna group yetu fb tupo watu 780 kwanza tunaenda kutoa fungu letu la kumi kwa kituo cha watoto yatima kipo pale vilage tutakesha nao tar 24 then mishemishe zingine just imagine itakavikuwa poa