draga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2020
- 529
- 514
Hatuitaji makabla mengne ili tuendelee tunaitaji makabla mengne walishe mifungo , mbna wapo wengi mkuuHapo sawa. Na sehemu yoyote ili kuwe na mazingira mazuri ya utafutaji lazima kuwe na uwekezaji. Huko hakuna uwekezaji kwa sababu watu wanaenda mara moja kwa mwaka na hawaaliki wageni wawekeze.