GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
Watabaki wapi?Ni sawa, lakini kila kabila likiwa na utamaduni nani na nani watabaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watabaki wapi?Ni sawa, lakini kila kabila likiwa na utamaduni nani na nani watabaki.
Hakuna namna unaweza kuidefend hii old tradition aisee... Its old fashioned...Kuna topic zimeanzishwa humu kuwadhihaki wachaga na kwenda kwao kwa wingi msimu huu kwa Christmas, Wengine wakidai wanenda kutambika mara Wengine wanadai wanaenda kuringishia maendeleo . Wacha niwape kahistoria kidogo.
Mimi nimezaliwa miaka ya 1980s nimekuta mababu na mabibi zangu wapo.Na uzuri wazazi wetu sisi walizaliwa na kukulia Kilimanjaro kwa hiyo ilikuwa mwezi wa kumi na mbili ndio mwezi pekee unaweza kwenda nyumbani wakakutana na marafiki ndugu na jmaa kwa urahisi kwa sababu ni msimu ambao hata shule zimefungwa na maofisini wengi wamepata ruhusa. Wazazi walikuwa wanaenda Kilimanjaro mara kwa mara ila mwezi wa kumi na mbili ilikuwa inanoga zaidi..Na ukizingatia familia nyingi ulikuta watoto wamesambaa mikoa tofauti kutafuta maisha..Wengine dar.wengune arusha na Kila mkoa walipoona fursa..Hawa watu njia pekee iliyobaki ya kukutana na kutambulishana familia ni xmass kukutana nyumbani kwa wazazi wao Kila mtu akishinikuzwa kuja na familia zao.
Kikaja kizazi chetu sisi cha miaka ya 80 ambao hatukuzaliwa Kilimanjaro Wala kukulia huko na wazazi wako huku dsm .njia pekee waliyoitumia wazazi Ili kuturithisha huo utamadhni ilikuwa ni kwenda nasi mara kwa mara..ila kwetu sisi haikuwa inanoga sana cause hatukuzaliwa na kukulia huko..walipoona tunaanza kurudi nyuma wakaja na mbinu ya kufanya vikao vya ukooo Kila mwaka ifikapo December ..na ni lazima kuhudhuria..kwenye vikao hivyo ndipo tunapotambulishana familia zetu na kuzidi kujuana..ndipo unapoona home kumekaaje na uparekebishe..ndipo mnapokutana na ndugu Wengine kubadilisha mawazo na kupeana mawazo ya kimaisha.asilimia kubwa ya wanaopanda kaskazini nowdays ni kwenda kwenye vikao ..asilimia ndogo ndio kwenda kwa mapumzikooo....
ninachofurahi ni kuona huu utamaduni umeanza kuenea na mikoa mingine pia..mikoa ambayo ilizoea kuloea dsm miaka nenda Rudi now wameanza utamaduni wa kurudi nyumbani decemba.
Mimi mwenyewe nasubiri tu ofisini ikae sawa nipande nikapige mbegeeeeee....
wewe una sababu zako mimi binafsi si mchaga lakini utamaduni wa hawa jamaa nimeukubali kwanza kwa kwenda kwao mara kwa mara kumewafanya wafanye maendeleo makubwa vijijini kwao unakuta mijengo ya maana iko migombani mikoa mingine hata vyoo vya kawaida kabisa vijijini hakuna sembuse nyumba inatubidi tukubali na sisi tubadike na kufanya maendeleo tulikotoka ili tuwe na hamu ya kwenda kufurahi wakati wa likizo wengi wetu wengine mazingira hayako rafiki mahali tunapotoka ndio maana tunashindwa hata kuipeleka familia kujua kwenu mpaka matatizo yakukute ndio unaaibika ,pili naomba ufahamu mpaka miaka ya 1980 hapo wilaya zote kilimanjaro zilikuwa zinafikika kwa barabara nzuri na zingine zilikuwa na lami wakati mikoa mingine hata barabara hakuna au zinapitika kwa shida kwahiyo ninachotaka kusema hawa jamaa walikuwa na maono na viongozi wao na watendaji walikuwa wazalendo wa kweli wacha chuki binafsi ukweli unaonekana.Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
wewe una sababu zako mimi binafsi si mchaga lakini utamaduni wa hawa jamaa nimeukubali kwanza kwa kwenda kwao mara kwa mara kumewafanya wafanye maendeleo makubwa vijijini kwao unakuta mijengo ya maana iko migombani mikoa mingine hata vyoo vya kawaida kabisa vijijini hakuna sembuse nyumba inatubidi tukubali na sisi tubadike na kufanya maendeleo tulikotoka ili tuwe na hamu ya kwenda kufurahi wakati wa likizo wengi wetu wengine mazingira hayako rafiki mahali tunapotoka ndio maana tunashindwa hata kuipeleka familia kujua kwenu mpaka matatizo yakukute ndio unaaibika ,pili naomba ufahamu mpaka miaka ya 1980 hapo wilaya zote kilimanjaro zilikuwa zinafikika kwa barabara nzuri na zingine zilikuwa na lami wakati mikoa mingine hata barabara hakuna au zinapitika kwa shida kwahiyo ninachotaka kusema hawa jamaa walikuwa na maono na viongozi wao na watendaji walikuwa wazalendo wa kweli wacha chuki binafsi ukweli unaonekana.
Mimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Wasukuma ni kabila la hovyo hovyo ? Koma usirudie tena kusema hivyo. Kwa ufupi Kilimanjaro ni pakukaa manyani tu siyo binadamu. Nani akae huko milimani kwenye umande na ukungu kama nyani ? Huko ukifa unapelekwa kuzikwa tu ni makaburini kama Kinondoni makaburini. Huo ndio ukweli mchungu.
Arusha gani unayoisema ? Hiyo ya Longido na Monduli ambako wamasai huokota maji tunayowarushia sisi watalii ? Mwanza hapa Tz inazidiwa na Dar tu , Moshi na Arusha ligi yao ni kina Morogoro, Mbeya, Kahama, Dodoma na Tanga.
Niko njiani naeleka huko kwani nimemic sana 'mbege ya msesewe' (made in kibosho)
Sounds gayishStupid comment
Wachagga wamefanikiwa sana kuwafanya Wakurya na Wanyakyusa misukule yao miaminifu sana.
Sounds gayish
Bend over, mti wajaaa.Stupid comment
Ukishaona wapi mjita akawa mbeba mikoba wa mchagga?Na wajita
Duh! Jina mkaruka tayari ni utambulisho tosha unatoka mkoa gani, sawa unaishi Klm, lakini ulichoelezea ni jinsi nafsi yako inavyoteseka na life style ya wana- KlmMimi ninachojua asilimia kubwa hampendi kweli kukaa Kilimanjaro maana ni pabaya na hakuna issue yoyote ya maana.
Hii hype ya kurudi huko sasa hivi ni mihemko tu na ego fulani ya kutaka watu wakuone na mimi ni mchagga narudi X-mass Kilimanjaro.
Na ndio maana mko busy kufanya promotion kuwa mnarudi kwa watu ambao hata haiwahusu.
Ina maana watu wakipuuza mnajisikia vibaya.
Tena, kwa wasiojua zaidi ya 95% ya wachagga wanatamani Krismasi ipite fasta warudi sehemu wanazozipenda.
Maana kukaa huko Kilimanjaro ni adhabu tosha.
Ww wafikiria kubanjwana tu, kweli maendeleo utayasikia kwa [emoji343] radioWake za watu wanabanjuliwa kwa wingi sana mkoani Kili mwezi Dec kuliko mahala popote pale ukanda wa SADC.
Mliooa Kili komaeni muende na wake zenu kama hamuwezi kuwakatalia
Povu kama lote, usije jinyonga kisa wachaga, au ww gagula nn!Wachagga hawa ambao baba analala na mke wa mwanawe ? Ndio watakatifu hao ? Nusu ya kabila zima ni wavuta bangi na majizi ndio watakatifu hao ? Kwa majigambo yenu ya kijinga ndio maana watanzania tumewakataa na hamtaweza kupata uongozu wa juu wa nchi hii.
Unaandika kwa jazba sana hii sindano uliyopigwa ina nguvu sana
Wachagga awjinga tuPovu kama lote, usije jinyonga kisa wachaga, au ww gagula nn!