Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujakamilisha uchunguzi wako ongezea vibabu vya kuzungu na mabinti wa kiafrica pia wazungu wa kike na wanaume wa kibantu rafurafu tukiachana na wenye rasta
Yup umenena vyemaHivi Dr. Remmy naye alikuwa Rasta na mkewe hakuwa binti beberu?
Yah najua mkuu.. hua wanamfananisha na burna boy. nazingua tu 😁😁Huyo ni mwigizaji wa comedy Nagwa
Na Wamasai pia wapo kwenye orodha ya midoli ya wazungu.Ujakamilisha uchunguzi wako ongezea vibabu vya kuzungu na mabinti wa kiafrica pia wazungu wa kike na wanaume wa kibantu rafurafu tukiachana na wenye rasta
Ulimbukeni tuu wa WazunguMwigizaji wa kibongo Nagwa ajiokotea bibi wa kizungu,sasa maisha yake ni mazuri kabisa,
Hivi kwanini wanawakenwa kizungu wanapenda wanaume wa kiafrika wanaofuga rasta?View attachment 2451441
Natural look ndio kuwa na marasta?Huyu si burna boy??
Nafikiri wanawake wa kizungu wanapenda natural look, hawajui vijana siku hizi rasta ni za kununua na kuunganisha tu ma beach boy bana 😁
Kwahiyo ndio unataka uulizwe siri gani?Nilikuwaga rasta ile kutoka moyoni sio hizi za fasheni za siku hizi, rasta (nywele nyingi na ndefu) kuna siri imo ndani yake, wachache wenye kujua kuhusu hili.
Huwezi elewa wala kujua hadi uwe Muhusika kamili wa hizo nyweleKwahiyo ndio unataka uulizwe siri gani?
yes si nywele asili? Vijana siku hizi kina dulla makabila ndo wanaharibu kujikoboa na mikorogo na rasta za kuungaNatural look ndio kuwa na marasta?
Acha upuuziyes si nywele asili? Vijana siku hizi kina dulla makabila ndo wanaharibu kujikoboa na mikorogo na rasta za kuunga
Unajichubua?Acha upuuzi