cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Wamasai pia wapo kwenye orodha ya midoli ya wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Wamasai pia wapo kwenye orodha ya midoli ya wazungu.
Niambieeee dear nijue.Nilikuwaga rasta ile kutoka moyoni sio hizi za fasheni za siku hizi, rasta (nywele nyingi na ndefu) kuna siri imo ndani yake, wachache wenye kujua kuhusu hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu mnachekeshaaa sanaaaWazungu wa kike wanavaa vya kutobolea sspika pia so imeisha iyo ila kwa mlingoti chuma sodhani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahMi nnachojua n kwamba waafrika kwa kias kikubwa tumejaaaliwa mandingo.
Na watasha wengi wana vipenseli.
So hao madem wa kizungu hua wanapenda ile mbilinge ya 6 kwa 6 maana muafrika akiipata nyapu ya kozungu anasimamia kucha kweli kweli maana anajua ndo ticket ya kwe da ughaibuni. So ni msingi kiuno tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi ulipata babu wa kizungu au uliishia kufuga makitu kama mizizi ya mbuyu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tutachekiana private
We Acha tu, siri twaijua wafugajihiyohiyo Rasta.
Kuna Jambo hapa
PoaMjukuu wa baby nae alipataga mzungu wa kiswiden wako nae Hadi Leo sababu Ni hiyohiyo Rasta.
Kuna Jambo hapa