Kuna siri gani kati ya Wanaume wenye rasta na Wazungu?

Kuna siri gani kati ya Wanaume wenye rasta na Wazungu?

Mi nnachojua n kwamba waafrika kwa kias kikubwa tumejaaaliwa mandingo.
Na watasha wengi wana vipenseli.
So hao madem wa kizungu hua wanapenda ile mbilinge ya 6 kwa 6 maana muafrika akiipata nyapu ya kozungu anasimamia kucha kweli kweli maana anajua ndo ticket ya kwe da ughaibuni. So ni msingi kiuno tu.
 
✅ Mzungu hupenda watu wasio na aibu.

✅Mzungu akihitaji kufanya kitu anataka umsapoti bila aibu, alitaka busu hadhatani usikatae, alitaka kukukumbatia usikatae, akienda sehemu yoyote uwe naye.

✅ Ma Rasta kutokana na kutumia kitu ya Arusha, Tarime kinamtengeneza mtu ambaye ile hofu nishai ya kawaida aliyoumbiwa binaadamu iondoke, huwezi kuona tofauti ya Mzee kijana na mtoto wanaotumia Jani hilo haramu, kwa Mavazi, kuongea aukufanya jambo lolote hivyo wazungu wanaona hao ndio wanaendana nao.

✅ Ukitaka kuamini mzungu ni tofauti na binaadamu wa kawaida , chunguza rafiki wao Mkuu mnyama MBWA . Mbwa ukimuomyesha ukaribu na upendo basi atakuwa anakufiata Kila unapokwenda bila kujali wewe ni chizi au mzima. Ukipita mitaani utakuta vichawa wanazurura na mbwa weengi wengine wametoroka majumbani mwao. Yeye mbwa anataka upendo na kutoka out na wewe. Ndio maana wazungu wapo karibu Sana na mbwa kuliko binaadamu
 
Wanawake wa kizungu wanaamini rastas wana uwezo mkubwa wa kungonoka, wanawake weupe wengi tu huwa wanaenda Caribbean hadi huko Jamaica kuingia kwenye mahusiano, hawa wanaofika huku wanaamini hawa Rastas wa huku wapo kama wale wa huko visiwa vya Caribbean, hawa wa huku wanawakilishwa vyema na hao rastas wa huko Jamaica na Caribbean, kwani inasemekana hao jamaa wana libido ya kufa mtu, wakimkamata mzungu wanapiga kweri kweri, sasa habari zinakuwa zinasambaa baina yao, ni kama huku usikie kabila flani Tanzania wanatoa maji wakati wa sex, kwa wanaopenda maji hata mjini akikutana na mwanamke wa hio kabila lazima alale nae mbere kwa mbere.

Rastas huwa wana miiko flani hasa kwenye vyakula na mitindo ya maisha, nahisi pia wazungu wanavutiwa na hayo, ukiachilia mbali ni watu ambao wapo real, wana knowledge, naona pia ile mzungu akikaa na rasta anapata knowldge ya mambo mengi, ukiachilia mbali wanapenda muziki, kuimba na kupiga vifaa vya muziki kama guitar, pia jamaa ni watu wa arts japo sio wote, kwa hio hao jamaa ni full package mtoto wa kizungu lazima amuelewe, ndio mambo wazungu wanapenda hayo.

Lakini wazungu hawajui huku kwetu rastas real wachache wengi wahuni tu wa mjini wameamua kusuka rasta apate mzungu.
 
Nilikuwaga rasta ile kutoka moyoni sio hizi za fasheni za siku hizi, rasta (nywele nyingi na ndefu) kuna siri imo ndani yake, wachache wenye kujua kuhusu hili.
Vipi ulipata babu wa kizungu au uliishia kufuga makitu kama mizizi ya mbuyu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nnachojua n kwamba waafrika kwa kias kikubwa tumejaaaliwa mandingo.
Na watasha wengi wana vipenseli.
So hao madem wa kizungu hua wanapenda ile mbilinge ya 6 kwa 6 maana muafrika akiipata nyapu ya kozungu anasimamia kucha kweli kweli maana anajua ndo ticket ya kwe da ughaibuni. So ni msingi kiuno tu.
Ww unajidai kama hujaangalia xxx mbona maumbile yako sawa tu tatizo wazungu wametufanya midoli yao na ile kubadili ladha inaleta msisimko.

Mara ya kwanza kuisasambua nilikua mbugani nikijifunza kuongoza watalii local bas katika safari za miguu kupanda msituni nikajilia nyapu hawana tofaut na albino wana joto kama madem wa kibongo kiufupi hakuna kipya
 
Ww unajidai kama hujaangalia xxx mbona maumbile yako sawa tu tatizo wazungu wametufanya midoli yao na ile kubadili ladha inaleta msisimko.

Mara ya kwanza kuisasambua nilikua mbugani nikijifunza kuongoza watalii local bas katika safari za miguu kupanda msituni nikajilia nyapu hawana tofaut na albino wana joto kama madem wa kibongo kiufupi hakuna kipya
Mauno wanakata?
 
Back
Top Bottom