Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Rasta kapata Sponsor rasmiMwigizaji wa kibongo Nagwa ajiokotea bibi wa kizungu,sasa maisha yake ni mazuri kabisa. Hivi kwanini wanawakenwa kizungu wanapenda wanaume wa kiafrika wanaofuga rasta?
View attachment 2451441
Mbona Arusha marasta wengi WANATOBOLEWA SPIKa, hapo Kuna kitu gani kimejificha?Nilikuwaga rasta ile kutoka moyoni sio hizi za fasheni za siku hizi, rasta (nywele nyingi na ndefu) kuna siri imo ndani yake, wachache wenye kujua kuhusu hili.
MLINGOTI CHUMAHuyo ni mwigizaji wa comedy Nagwa
Wazungu wa kike wanavaa vya kutobolea sspika pia so imeisha iyo ila kwa mlingoti chuma sodhaniMbona Arusha marasta wengi WANATOBOLEWA SPIKa, hapo Kuna kitu gani kimejificha?
Kwahyo unataka kusema sspika ya nagwa haitoboki mkuu 😁😁Wazungu wa kike wanavaa vya kutobolea sspika pia so imeisha iyo ila kwa mlingoti chuma sodhani
Nagwa mgumu sana labda apewe Kilvington na madawaKwahyo unataka kusema sspika ya nagwa haitoboki mkuu 😁😁
Vipi ulipata babu wa kizungu au uliishia kufuga makitu kama mizizi ya mbuyu[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwaga rasta ile kutoka moyoni sio hizi za fasheni za siku hizi, rasta (nywele nyingi na ndefu) kuna siri imo ndani yake, wachache wenye kujua kuhusu hili.
Wanapenda vitonga alafu u rasta umeingiliwa mashoga waliona marasta wanavyokubalika na wazungu wakaona waunge za bandia ili wawe karibu na wazungu wabanduliwe vizuriMbona Arusha marasta wengi WANATOBOLEWA SPIKa, hapo Kuna kitu gani kimejificha?
Ww unajidai kama hujaangalia xxx mbona maumbile yako sawa tu tatizo wazungu wametufanya midoli yao na ile kubadili ladha inaleta msisimko.Mi nnachojua n kwamba waafrika kwa kias kikubwa tumejaaaliwa mandingo.
Na watasha wengi wana vipenseli.
So hao madem wa kizungu hua wanapenda ile mbilinge ya 6 kwa 6 maana muafrika akiipata nyapu ya kozungu anasimamia kucha kweli kweli maana anajua ndo ticket ya kwe da ughaibuni. So ni msingi kiuno tu.
Mauno wanakata?Ww unajidai kama hujaangalia xxx mbona maumbile yako sawa tu tatizo wazungu wametufanya midoli yao na ile kubadili ladha inaleta msisimko.
Mara ya kwanza kuisasambua nilikua mbugani nikijifunza kuongoza watalii local bas katika safari za miguu kupanda msituni nikajilia nyapu hawana tofaut na albino wana joto kama madem wa kibongo kiufupi hakuna kipya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu si burna boy??
Nafikiri wanawake wa kizungu wanapenda natural look, hawajui vijana siku hizi rasta ni za kununua na kuunganisha tu ma beach boy bana [emoji16]