Pre GE2025 Kuna siri ipi iliyojificha kuwa mgombea Urais kupitia vyama vya upinzani Tanzania?

Pre GE2025 Kuna siri ipi iliyojificha kuwa mgombea Urais kupitia vyama vya upinzani Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia hili swala la kugombea Urais wa Tanzania kupitia vyama vya upinzani bado sijapata jibu la moja kwa moja.

Unaona kabisa kuna wanasiasa wako serious kabisa kuwa wagombea wa Urais kupitia upinzani huku kwa hali halisi unaona wazi level zao ni kupambania ubunge ili waendelee kula kodi za Watanzania.

Sasa mambo yasiwe mengi mimi nauliza kuna siri gani iliyojificha au mgombea mshindwaji ananufaika nini katika platform za kimataifa? Maana hii siyo bure kuna kitu ambacho wengi bado hatukijui.
 
Walau sasa Chadema Wana Tundu Antipas Lisu na ACT Wazalendo Wana Othman Masoud
johnthebaptist TUWE WAKWELI, USHABIKI TUUWEKE PEMBENI, SAMIA ANAANYA NINI KATIKA URAIS? NINI ANACHOKIFANYA AMBACHO MTU YEYOTE TOKA UPINZANI HAWEZI KUKIFANYA?

SAMIA ANA EXTRA QUALITIES ZIPI AMBAZO MBOWE HANA, ZITO HANA, HECHE HANA, MSIGWA HANA ETC ETC NA WEGINE WENGI TU!
 
johnthebaptist TUWE WAKWELI, USHABIKI TUUWEKE PEMBENI, SAMIA ANAANYA NINI KATIKA URAIS? NINI ANACHOKIFANYA AMBACHO MTU YEYOTE TOKA UPINZANI HAWEZI KUKIFANYA?

SAMIA ANA EXTRA QUALITIES ZIPI AMBAZO MBOWE HANA, ZITO HANA, HECHE HANA, MSIGWA HANA ETC ETC NA WEGINE WENGI TU!
Dunia ya Leo unataka viongozi wavumilivu Sifa ambayo Rais Samia anayo na hao uliowataja na wengine wengi hawana
 
Kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia hili swala la kugombea Urais wa Tanzania kupitia vyama vya upinzani bado sijapata jibu la moja kwa moja.

Unaona kabisa kuna wanasiasa wako serious kabisa kuwa wagombea wa Urais kupitia upinzani huku kwa hali halisi unaona wazi level zao ni kupambania ubunge ili waendelee kula kodi za Watanzania.

Sasa mambo yasiwe mengi mimi nauliza kuna siri gani iliyojificha au mgombea mshindwaji ananufaika nini katika platform za kimataifa? Maana hii siyo bure kuna kitu ambacho wengi bado hatukijui.
Mkuu Unazifahamu sifa za Ugombea Urais Kwa Tanzania?Kama Amekidhi Sifa za Kikatiba wewe ni nani useme kwamba Hajakidhi Vigezo?Au unafikiri Sifa ya Kugombea Urais ni Lazima Uwe Maarufu/Mwenyekiti wa Chama na Uwe Tajiri?Au Umeshakaa Serikalini Kwa Miaka Mingi?

Jibu ni Hapana Mkuu.

Faida za Kugombea Urais ni Pamoja na kutumia haki yako ya Kikatiba,Kutimiza wajibu wako wa KIkatiba,Kuonesha Maono yako kuhusu Taifa Lako?Na Kama Ukishinda ni heshima Kutumia Nafasi yako kuendesha nchi yako kwa haki na usawa?

So Usiogope.Kugombea Urais sio Reserved Position kwa ajili ya watu maalum.Wala kugombea Ubunge/Udiwani au hata Uenyekiti wa Mtaa sio reserved Position.Ni haki na wajibu wako kikatiba .


Unakaribishwa hata wewe Kugombea
 
Kwa muda mrefu nimejaribu kufuatilia hili swala la kugombea Urais wa Tanzania kupitia vyama vya upinzani bado sijapata jibu la moja kwa moja.

Unaona kabisa kuna wanasiasa wako serious kabisa kuwa wagombea wa Urais kupitia upinzani huku kwa hali halisi unaona wazi level zao ni kupambania ubunge ili waendelee kula kodi za Watanzania.

Sasa mambo yasiwe mengi mimi nauliza kuna siri gani iliyojificha au mgombea mshindwaji ananufaika nini katika platform za kimataifa? Maana hii siyo bure kuna kitu ambacho wengi bado hatukijui.
Mkuu Unazifahamu sifa za Ugombea Urais Kwa Tanzania?Kama Amekidhi Sifa za Kikatiba wewe ni nani useme kwamba Hajakidhi Vigezo?Au unafikiri Sifa ya Kugombea Urais ni Lazima Uwe Maarufu/Mwenyekiti wa Chama na Uwe Tajiri?Au Umeshakaa Serikalini Kwa Miaka Mingi?

Jibu ni Hapana Mkuu.

Faida za Kugombea Urais ni Pamoja na kutumia haki yako ya Kikatiba,Kutimiza wajibu wako wa KIkatiba,Kuonesha Maono yako kuhusu Taifa Lako?Na Kama Ukishinda ni heshima Kutumia Nafasi yako kuendesha nchi yako kwa haki na usawa?

So Usiogope.Kugombea Urais sio Reserved Position kwa ajili ya watu maalum.Wala kugombea Ubunge/Udiwani au hata Uenyekiti wa Mtaa sio reserved Position.Ni haki na wajibu wako kikatiba .


Unakaribishwa hata wewe Kugombea


Kwa kizungu hivi Ndio Vigezo:


"Article 39(1) of the 1977 Constitution requires candidates to be Tanzanian citizens by birth, at least 40 years old, be nominated by a political party of which they are a member, be qualified to be an MP or a member of the Zanzibar House of Representatives, and not have any convictions related to tax evasion."
 
Dunia ya Leo unataka viongozi wavumilivu Sifa ambayo Rais Samia anayo na hao uliowataja na wengine wengi hawana
Kama Magufuli alikuwa dhalimu na mlisema ni bonge la kiongozi, tuwaeleweje sasa? Au ni mambo ya bandera fuata upepo?
 
Mkuu Unazifahamu sifa za Ugombea Urais Kwa Tanzania?Kama Amekidhi Sifa za Kikatiba wewe ni nani useme kwamba Hajakidhi Vigezo?Au unafikiri Sifa ya Kugombea Urais ni Lazima Uwe Maarufu/Mwenyekiti wa Chama na Uwe Tajiri?Au Umeshakaa Serikalini Kwa Miaka Mingi?

Jibu ni Hapana Mkuu.

Faida za Kugombea Urais ni Pamoja na kutumia haki yako ya Kikatiba,Kutimiza wajibu wako wa KIkatiba,Kuonesha Maono yako kuhusu Taifa Lako?Na Kama Ukishinda ni heshima Kutumia Nafasi yako kuendesha nchi yako kwa haki na usawa?

So Usiogope.Kugombea Urais sio Reserved Position kwa ajili ya watu maalum.Wala kugombea Ubunge/Udiwani au hata Uenyekiti wa Mtaa sio reserved Position.Ni haki na wajibu wako kikatiba .


Unakaribishwa hata wewe Kugombea


Kwa kizungu hivi Ndio Vigezo:


"Article 39(1) of the 1977 Constitution requires candidates to be Tanzanian citizens by birth, at least 40 years old, be nominated by a political party of which they are a member, be qualified to be an MP or a member of the Zanzibar House of Representatives, and not have any convictions related to tax evasion."
Baado upo gizani, kuna kitu bado hukielewi, subiri wajuzi wa mambo watakuja kutujuza.
 
Ruzuku, chama kilichosimamisha mgombea urais na akafanikiwa kupata kura kadhaa na idadi kadhaa ya wabunge inajihakikishia kiwango kikubwa cha ruzuku, ACT itavuna wabunge wengi Zanzibar na kama wakapata kura nyingi za mgombea urais was JMT basi wanaweza kuwashinda chadema kwenye kupata ruzuku, hapo zito atawaambia tu alipwe mshahara saw na ambao angelipwa kama angelikua mbunge kwa kipindi cha miaka mitano.
 
Ruzuku, chama kilichosimamisha mgombea urais na akafanikiwa kupata kura kadhaa na idadi kadhaa ya wabunge inajihakikishia kiwango kikubwa cha ruzuku, ACT itavuna wabunge wengi Zanzibar na kama wakapata kura nyingi za mgombea urais was JMT basi wanaweza kuwashinda chadema kwenye kupata ruzuku, hapo zito atawaambia tu alipwe mshahara saw na ambao angelipwa kama angelikua mbunge kwa kipindi cha miaka mitano.
Atleast wewe kuna point umeandika ya kueleweka, ila bado kuna kitu nahisi hatukijui.
 
Dunia ya Leo unataka viongozi wavumilivu Sifa ambayo Rais Samia anayo na hao uliowataja na wengine wengi hawana
uvumilivu wa kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake? Najua mnapatapata kwenye maeneo yenu ndiyo uvumilivu.
 
Back
Top Bottom