wapo ambao ni visionary young politicians ambao wana ndoto,tamaa na nia ya dhati ya kua viongozi katika nchi kisiasa. Regardless ya udogo au influence yao hutamani kuungia kwenye mapambano kujifunza na kupata uzoefu utakao wasaidia huko mbeleni, coz kutokana na political dynamics inaweza tokea kusambaratika kwa, mathalani chama tawala, then katika kipindi hicho huyo mgombea ndio akainekana anafaa na mwenye uzoefu zaid ya wengine kubeba mrengo wa wengi katika msambaratiko π
Lakini pili,
kunaweza kukawa na msukumo nje kutoka vyama rafiki kutoka huko ng'ambo. Kijana akaandaliwa kama puppet na akafadhiliwa kwa kila kitu na mabwenyenye kama ambavyo iko sasa kwa baadhi ya wagombea wa upinzani π
hata hivyo, kua puppet kuna kua na makubaliano kwamba ukipata huo Uongozi utawapatia fursa na rasilimali za nchi kadiri wapendavyo π