Pre GE2025 Kuna siri ipi iliyojificha kuwa mgombea Urais kupitia vyama vya upinzani Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
sifikiri kama kuna faida wanayoipata zaidi ya kujijenga zaidi kisiasa, Mana ukiwa mgombea wa uraisi unakuwa natural kama leader au kioo wa chama.
 
wapo ambao ni visionary young politicians ambao wana ndoto,tamaa na nia ya dhati ya kua viongozi katika nchi kisiasa. Regardless ya udogo au influence yao hutamani kuungia kwenye mapambano kujifunza na kupata uzoefu utakao wasaidia huko mbeleni, coz kutokana na political dynamics inaweza tokea kusambaratika kwa, mathalani chama tawala, then katika kipindi hicho huyo mgombea ambae si kitu kwa sasa, ndio akaonekana anafaa zaidi na mwenye uzoefu zaid ya wengine kubeba mrengo wa wengi katika msambaratiko huo πŸ’

Lakini pili,
kunaweza kukawa na msukumo wa nje ya nchi kutoka vyama rafiki kutoka huko ng'ambo. Kijana akaandaliwa kama puppet na akafadhiliwa kwa kila kitu na mabwenyenye ya ulaya US, au Asia, kama ambavyo iko sasa kwa baadhi ya wagombea wa upinzani πŸ’

hata hivyo, kua puppet kuna kua na makubaliano kwamba ukipata huo Uongozi utawapatia fursa na rasilimali za nchi kadiri wapendavyo πŸ’
 
Hapa nachukuwa la pili, nadhani hiki ndio wengi hatukijui, mabeberu wanaweza kukuweka kwenye program yao kwa 20 years to come.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…