Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ulijiskiaje ulipooga?Nilishaenda Uru waterfall, kwa hakika maji yake yana kitu.
DaktariiYana maajabu ganj?
Sina sababu ya kudanganya mkuu, fanya hivyo utashukuru hadharani, utakuwa mpya tena na ya kale yatakwisha.Mzee wa Loliondo alienda kununua Kikombe cha Plastic Sokoni akawadanyanya Raia kilishuka mbinguni na akapiga hela.
Sisi watanzania ni tabu tupu. Porojo nyingi sana.Yana maajabu ganj?
Wajuaji huwa hamuishi katika nchi.Mzee wa Loliondo alienda kununua Kikombe cha Plastic Sokoni akawadanyanya Raia kilishuka mbinguni na akapiga hela.
Nilisisimka visivyo kawaida.Ulijiskiaje ulipooga?
Hata maji ya msitu wa shengena yaliyopo chome wilayani same naskia yana upako wa namna yake pia
Wachawi mmeanza kujitokeza kupinga maji matakatifu.Sisi watanzania ni tabu tupu. Porojo nyingi sana.
Hawataji hayo maajabu. Lakini aliyeanzisha uzi anasema “yana nguvu mara 1,000 zaidi ya yale ya Mwamposa.”
Na wengineo wanakuja na yao. Mara chemka kule na Uru. Hiyo miujiza wala hizo nguvu hawazitolei ushuhuda zaidi ya porojo tu.
Wajuaji wa jamiiforums watabisha.Nilishaenda Uru waterfall, kwa hakika maji yake yana kitu.
🤣🤣Mzee wa Loliondo alienda kununua Kikombe cha Plastic Sokoni akawadanyanya Raia kilishuka mbinguni na akapiga hela.
Marangu and the same types got some things exceptionsUlijiskiaje ulipooga?
Hata maji ya msitu wa shengena yaliyopo chome wilayani same naskia yana upako wa namna yake pia