Kuna Soko la pumba Moshi na Arusha?

Kuna Soko la pumba Moshi na Arusha?

Black Mann

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
140
Reaction score
209
Habari za majukumu ndugu zangu,

Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi.

Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga

Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora.

Mawasiliano zaidi 0658644485
 
Back
Top Bottom