Kuna taarifa kuwa mwezi umeonekana Tandahimba jana tarehe 01/05/2022

Kuna taarifa kuwa mwezi umeonekana Tandahimba jana tarehe 01/05/2022

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenya jana mwezi ulionekana Lamu na Kadhi mkuu wa Kenya akatangaza leo ni Eid kwa ukanda wote wa Afrika Mashariki.
Nchi zote za Afrika mashariki leo wamesali na kusheherekea Sikukuu ya Eid kitaifa kasoro Tanzania tu.
Huyo Kadhi amepewa mamlaka na nani kutangaza sikukuu Afrika mashariki?
 
Jaribu kuficha upumbavu wako hata kama utakuwa ni mpumbavu kweli usijioneshe hadharani itakusaidia sana katika maisha yako ndugu.

Umesikiliza hiyo audio clip hao watu waliofanikiwa kuuona mwezi wapo sehemu gani na baada ya kuuona umeskia waliwasiliana na nani...? Au ndio unadhihirisha ni kiasi gani ulivyo mbumbumbu ndugu...?
Waambie watupie picha au video mkuu!
 
Nanyanga aliposema huyo boya hapo kwenye hiyo audio ndipo kwetu broh!! Watu wamefunga leo na hizo taarifa wanashangaa, ye si kasema Nanyanga au??

Hao waliofunga ndio wanaopelekwa kama mamluki hata wakiambiwa kuwa umeandama sehemu hawataki kuskia mpaka mabwana wao wawatangazie, huo ni mtihani sana.
 
Waambie watupie picha au video mkuu!

Ina maana kipofu asiyeona picha wala video itakuwa hafungi/kufungua bila ya picha na video au unapoambiwa tu kuwa umeandama sehemu unahitajika kuifuata hiyo taarifa...?
 

Hao waliofunga ndio wanaopelekwa kama mamluki hata wakiambiwa kuwa umeandama sehemu hawataki kuskia mpaka mabwana wao wawatangazie, huo ni mtihani sana.

Unaongea nini sasa!? Nakwambia mwezi haujaandama hapo Nanyanga kama audio inavyosema!!

Kwa audio/ tukio hili ndiyo nimeamini watu wapo kazini kupotosha!! Watu hawajafungua hapo Nanyanga hakuna aliyeona mwezi na hizi taarifa wenyewe wanazishangaa!!
 
Unaongea nini sasa!? Nakwambia mwezi haujaandama hapo Nanyanga kama audio inavyosema!!

Kwa audio/ tukio hili ndiyo nimeamini watu wapo kazini kupotosha!! Watu hawajafungua hapo Nanyanga hakuna aliyeona mwezi na hizi taarifa wenyewe wanazishangaa!!

Mwezi umeonekana na watu wameshuhudia na hao unaowasikia kwenye clip ni watu walioshuhudia muandamo wa mwezi, sasa hao ambao hawajafungua ndio wanasubiri mpaka watangaziwe na mabwana zao ndio wafungue ndugu.
 
Mwezi umeonekana na watu wameshuhudia na hao unaowasikia kwenye clip ni watu walioshuhudia muandamo wa mwezi, sasa hao ambao hawajafungua ndio wanasubiri mpaka watangaziwe na mabwana zao ndio wafungue ndugu.

Hao unaowasikia kwenye clip unawajua?? Nakuhakikishia kwa mara ya mwisho, mwezi haujaonekana kama hiyo audio inavyosema!! Hilo ni pishi kama mapishi mengine, ninapokwambia nimeongea na watu kibao hapo Nanyanga hakuna mwezi ulioonekana!! Huelewi??

Watu watafungua vipi mwezi hujaonekana?? Labda kama ulionekana sehemu nyingine lakini siyo Nanyanga bro, umenielewa??
 
Teknolojia sasa hivi imekuwa sana,maana karibu kila mtu anamiliki smart phone,hivi kama hii hadithi mnayoongea ni kweli,wameshindwa hata kupiga picha au video itumike kama ushahidi kuwa mwezi umeandama...?
 
Hao unaowasikia kwenye clip unawajua?? Nakuhakikishia kwa mara ya mwisho, mwezi haujaonekana kama hiyo audio inavyosema!! Hilo ni pishi kama mapishi mengine, ninapokwambia nimeongea na watu kibao hapo Nanyanga hakuna mwezi ulioonekana!! Huelewi??

Watu watafungua vipi mwezi hujaonekana?? Labda kama ulionekana sehemu nyingine lakini siyo Nanyanga bro, umenielewa??

Hivi ulimskia Mufti akiongea kwenye video akisema kuwa mwezi haujaonekana Zanzibar wala Kenya umeiskia hiyo video...?

Una taarifa kuwa leo Kenya na Uganda wameswali Eid...? Ukiwa kama mtu mwenye akili timamu unaweza ku-connect dots katika hilo...? Kwa nini adanganye kuwa haujaonekana Kenya wakati wao wameswali leo na mpaka Kenyatta katangaza kuwa ni sikukuu na ni siku ya mapumziko leo kwa Kenya wakati Mufti wako alishaudanganya Umma wa Watanzania kuwa Kenya mwezi haujaandama.

Kwa huo mfano hapo juu ukiwa kama mtu mwenye akili timamu unajifunza kitu gani ndugu...?
 
Huyo Kadhi amepewa mamlaka na nani kutangaza sikukuu Afrika mashariki?
Viongozi wa bakwata na ofisi ya kadhi mkuu wa Kenya walikubaliana miaka mingi iliyopita kwamba ukanda wetu wa Afrika Mashariki kwa kua majira yetu yanafanana basi nchi yoyote itakayo uona mwezi na taarifa hizo kuthibitishwa kua ni sahihi na viongozi wakuu wa dini (kadhi mkuu/Mufti) basi nchi zote zinaweza kufunga au kufungua kwa mwandamo wa nchi jirani.
Ajabu jana Mufti mkuu ametuambia mwezi haukounekana kokote Tanzania bara, Zanzibar wala Kenya [emoji1139]
 
Hivi ulimskia Mufti akiongea kwenye video akisema kuwa mwezi haujaonekana Zanzibar wala Kenya umeiskia hiyo video...?

Una taarifa kuwa leo Kenya na Uganda wameswali Eid...? Ukiwa kama mtu mwenye akili timamu unaweza ku-connect dots katika hilo...? Kwa nini adanganye kuwa haujaonekana Kenya wakati wao wameswali leo na mpaka Kenyatta katangaza kuwa ni sikukuu na ni siku ya mapumziko leo kwa Kenya wakati Mufti wako alishaudanganya Umma wa Watanzania kuwa Kenya mwezi haujaandama.

Kwa huo mfano hapo juu ukiwa kama mtu mwenye akili timamu unajifunza kitu gani ndugu...?

Nina akili timamu sana kuliko wewe, hapa tunajadili kuhusu audio na kuonekana kwa mwezi huko Nanyanga, Mtwara. Hilo la Mufti umelitoa wapi??

Hata hivyo, kila jamii ina mamlaka inayoshughulika na mambo yao!! Mufti ni mamlaka, Quran yenyewe inatutaka kutii mamlaka zilizopo!! Tii mamlaka yako
 
Mkuu sisi wazee wa vipedo(kama ulivyoita) tumeanza kufunga mwanzo na wala hakuna aliyesema k2amba tunafungw mwanzo kwa sababu sisi ni walafi.

Kwa hiyo na siku zikitimia tukaanza kufungua msitubeze teenaa wakati tulianza mwanzo kuliko ninyi.
Si bora tuhesabu siku tuu tuache kubashiri kwa mwezi kama tuna beti ?
 
Unaongea nini sasa!? Nakwambia mwezi haujaandama hapo Nanyanga kama audio inavyosema!!

Kwa audio/ tukio hili ndiyo nimeamini watu wapo kazini kupotosha!! Watu hawajafungua hapo Nanyanga hakuna aliyeona mwezi na hizi taarifa wenyewe wanazishangaa!!
Hii ndio J.f Tuwe nayo makini sana!!
 
Back
Top Bottom