Kuna taarifa kuwa mwezi umeonekana Tandahimba jana tarehe 01/05/2022

Kuna taarifa kuwa mwezi umeonekana Tandahimba jana tarehe 01/05/2022

Haya Mambo sijui yaliharibikia wapi..?
Kitambo ukionekana mahali popote Tanzania, unasikia hata mida ya saa nne usiku enzi hizo Radio Tanzania taarifa inatangazwa, na kulikuwa hakuna tatizo..
Sasa leo na Teknolojià hii bado hili suala la Mwezi kuonekana linaleta changamoto .
Viongozi wa Bakwata wanalipwa mishahara na serikali ndio tatizo.

Hata magari wanayotumia wanapewa na serikali.

Hivi nikuulize tu yule Sheikh mkuu wa Dar kati ya msikitini na kwenye matukio ya serikali ni wapi anapatikana zaidi?
 
Teknolojia sasa hivi imekuwa sana,maana karibu kila mtu anamiliki smart phone,hivi kama hii hadithi mnayoongea ni kweli,wameshindwa hata kupiga picha au video itumike kama ushahidi kuwa mwezi umeandama...?
Huna logic, na ukitumiwa video ya mwaka juzi?
 
Haya Mambo sijui yaliharibikia wapi..?
Kitambo ukionekana mahali popote Tanzania, unasikia hata mida ya saa nne usiku enzi hizo Radio Tanzania taarifa inatangazwa, na kulikuwa hakuna tatizo..
Sasa leo na Teknolojià hii bado hili suala la Mwezi kuonekana linaleta changamoto .
Waliwahi Hata Kutangaza saa 12.30 Alfajiri Watu wajiandaa kwenda maofisini na mashuleni Miaka ya 80 mwanzoni. Nasiku ikabadilika ikawa Holiday Badala ya Siku ya Kazi! Saa 12 Asubuhi....!
 
Si bora tuhesabu siku tuu tuache kubashiri kwa mwezi kama tuna beti ?
Hakuna anaebashiri kwa mwezi.

Mwezi unatangazwa na mahala husika na unahakikiwa kwamba umeonekana.

So hakuna watu wanaobeti bali wana ubakika na mwezi.
 
Viongozi wa bakwata na ofisi ya kadhi mkuu wa Kenya walikubaliana miaka mingi iliyopita kwamba ukanda wetu wa Afrika Mashariki kwa kua majira yetu yanafanana basi nchi yoyote itakayo uona mwezi na taarifa hizo kuthibitishwa kua ni sahihi na viongozi wakuu wa dini (kadhi mkuu/Mufti) basi nchi zote zinaweza kufunga au kufungua kwa mwandamo wa nchi jirani.
Ajabu jana Mufti mkuu ametuambia mwezi haukounekana kokote Tanzania bara, Zanzibar wala Kenya [emoji1139]

Ahsante sana kwa ufafanuzi huu kiongozi tatizo watu wanaleta mihemko kwenye jambo la msingi ndugu yangu.
 
Viongozi wa Bakwata wanalipwa mishahara na serikali ndio tatizo.

Hata magari wanayotumia wanapewa na serikali.

Hivi nikuulize tu yule Sheikh mkuu wa Dar kati ya msikitini na kwenye matukio ya serikali ni wapi anapatikana zaidi?

Ahsante sana kiongozi.
 
Back
Top Bottom