Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Viongozi wa Bakwata wanalipwa mishahara na serikali ndio tatizo.Haya Mambo sijui yaliharibikia wapi..?
Kitambo ukionekana mahali popote Tanzania, unasikia hata mida ya saa nne usiku enzi hizo Radio Tanzania taarifa inatangazwa, na kulikuwa hakuna tatizo..
Sasa leo na Teknolojià hii bado hili suala la Mwezi kuonekana linaleta changamoto .
Si watu wanaleta janja janja kwa matumbo yao, unategemea nin.Tanzania sijui kuna shida gani kwenye kila nyanja ni kizungumkuti tu yaani.
Huna logic, na ukitumiwa video ya mwaka juzi?Teknolojia sasa hivi imekuwa sana,maana karibu kila mtu anamiliki smart phone,hivi kama hii hadithi mnayoongea ni kweli,wameshindwa hata kupiga picha au video itumike kama ushahidi kuwa mwezi umeandama...?
Mimi naelewa vizuri mkuu ila sasa wenye dini pale top ndio shida;kutangaza mwezi, kweli mkuu...?
Ndio hivyo zakuambiwa changanya na zako.Mwezi umeonekana na watu leo wameswali na wamekula kwa muandamo wa Mwezi Shawwal.
Waliwahi Hata Kutangaza saa 12.30 Alfajiri Watu wajiandaa kwenda maofisini na mashuleni Miaka ya 80 mwanzoni. Nasiku ikabadilika ikawa Holiday Badala ya Siku ya Kazi! Saa 12 Asubuhi....!Haya Mambo sijui yaliharibikia wapi..?
Kitambo ukionekana mahali popote Tanzania, unasikia hata mida ya saa nne usiku enzi hizo Radio Tanzania taarifa inatangazwa, na kulikuwa hakuna tatizo..
Sasa leo na Teknolojià hii bado hili suala la Mwezi kuonekana linaleta changamoto .
Hakuna anaebashiri kwa mwezi.Si bora tuhesabu siku tuu tuache kubashiri kwa mwezi kama tuna beti ?
Viongozi wa bakwata na ofisi ya kadhi mkuu wa Kenya walikubaliana miaka mingi iliyopita kwamba ukanda wetu wa Afrika Mashariki kwa kua majira yetu yanafanana basi nchi yoyote itakayo uona mwezi na taarifa hizo kuthibitishwa kua ni sahihi na viongozi wakuu wa dini (kadhi mkuu/Mufti) basi nchi zote zinaweza kufunga au kufungua kwa mwandamo wa nchi jirani.
Ajabu jana Mufti mkuu ametuambia mwezi haukounekana kokote Tanzania bara, Zanzibar wala Kenya [emoji1139]
Viongozi wa Bakwata wanalipwa mishahara na serikali ndio tatizo.
Hata magari wanayotumia wanapewa na serikali.
Hivi nikuulize tu yule Sheikh mkuu wa Dar kati ya msikitini na kwenye matukio ya serikali ni wapi anapatikana zaidi?
Si watu wanaleta janja janja kwa matumbo yao, unategemea nin.
BAKWATA ni tawi la Kanisa Katoliki.
Hatari sana aisee...!Tandahimba ipo Malawi mkuu, huku Tanzania hawajauona
Waliwahi Hata Kutangaza saa 12.30 Alfajiri Watu wajiandaa kwenda maofisini na mashuleni Miaka ya 80 mwanzoni. Nasiku ikabadilika ikawa Holiday Badala ya Siku ya Kazi! Saa 12 Asubuhi....!