Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... wanaabudu sana makandokando. Matokeo hayadanganyi.Ndoige 2 bila hadi sasa
Sasa mbona wamefugwa... nisingependa kucomment huu uzi! But haishangazi. Wale jamaa sio ajabu.
Akili ndogo sana!!! Ya nini UTOE RUSHWA!!! QATAR walitakiwa kuwashawishi vijana kadha Waziri kutoka nchi kama za kiafrika na kuwapa uraia na hela, leo wangekuwa na TIMU. HIYO NI MATUMIZI TU YANLOGIC YA KAWAIDA....nimesoma mahali kwamba qatar iliwahonga wachezaji 8 wa ecuador mabilion ya pesa ili washinde mechi yao ya ufunguzi.inasemekana huo mchezo ulishtukiwa na mashushu na wachezaji hao 8 hawatacheza mechi ya leo!
... imenenwa; maarifa ni bora kuliko mali mengi.Sasa mbona wamefugwa
... hata maandizi ya FIFA World Cup 2022 ni matokeo ya rushwa; hilo liko wazi since then. Mnamkumbuka Sepp Blatter?Akili ndogo sana!!! Ya nini UTOE RUSHWA!!! QATAR walitakiwa kuwashawishi vijana kadha Waziri kutoka nchi kama za kiafrika na kuwapa uraia na hela, leo wangekuwa na TIMU. HIYO NI MATUMIZI TU YANLOGIC YA KAWAIDA....
Kwani HAO 8 hawajawachia QATAR, maana niulize tu kilichotokea
Upuuzi upi?Mods futa upuuzi huu