Tetesi: Kuna taarifa za Faru kuuawa Ngorongoro

Tetesi: Kuna taarifa za Faru kuuawa Ngorongoro

Super Handsome

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3,844
Reaction score
6,448
Kuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuawa kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya Alhamis iliyopita (31 may, 2018) askari wa mamlaka hiyo walivamia kijiji cha Bulati Kata ya Nainokanoka Na kutembeza kichapo Kwa wananchi WA kijiji hicho wanaodaiwa kumuua mnyama huyo adimu duniani.

Ikumbukwe kuwa wanyama hao wamefungwa GPRS devices ambazo sinasaidia kwenye ulinzi dhidi ya majangili.

Inasemekana kwamba Faru huyo alitorokq hifadhini Na kuelekea katika kijiji hicho Na baada ya kipigo cha mbwa koko walichopewa wananchi wakatoa ngozi waliokua wameificha ndani.

Uongozi wa mamlaka una-haha kuficha Taarifa hii isimfikie pogba!

Nb: Nimewahi kushiriki uhifadhi hasa WA wanyama hawa...jicho La nchi kiulinzi liko hapa Na serikali inawekeza billions of money ..wananchi wanaozunguka hifadhi KAZI mnayo! (Sina Picha zozote)
 
Hao wauwaji wanyongwe mpaka kufa, that’s all!
 
Aisee kuna watu watafukuzwa kazi na wengine kufungwa kabisa, na huyu waziri husika tuliye naye ni kichomi.
 
Mimi nimesikia kuna watu wengine wamewapa sumu simba
Kijiji cha Inyanchoka wilayani Serengeti Mkoani Mara,wananchi wanafanya makusudi kuikomoa serikali...kilio kikubwa cha wajasiriamali wa kijiji hiko wana demand shughuli za " cultural tourism " walizokua wanafanya kabla ya "single entry" kuanza basi zirejee

Awali walikua wananufaika Na uwepp WA watalii..skuizi ukiacha miradi ya ujiran Mwema basi hakuna direct impact wanayo Iona ndio sababu wanakomesha! Kwanini kijiji kama Bhonchugu hawafanyi ushenzy huu Na kuna nyakati tembo wanatorokea kijiji vyao? Idara ya ujiran mwema Na ulinzi ziongeze informers!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hii inaweza kuisha kimya kimya kama faru John,maana ishu ya faru John watu walipigwa marufuku waijadili.
 
Kuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuwawa Kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya alhamis iliyopita (31 may, 2018) askari wa mamlaka hiyo walivamia kijiji cha Bulati Kata ya Nainokanoka Na kutembeza kichapo Kwa wananchi WA kijiji hicho wanaodaiwa kumuua mnyama huyo adimu duniani.

Ikumbukwe kua wanyama hao wamefungwa GPRS devices ambazo sinasaidia kwenye ulinzi dhidi ya majangili.

Inasemekana kwamba Faru huyo alitorokq hifadhini Na kuelekea katika kijiji hicho Na baada ya kipigo cha mbwa koko walichopewa wananchi wakatoa ngozi waliokua wameificha ndani.

Uongozi WA mamalaka una-haha kuficha Taarifa hii isimfikie pogba!

Nb: Nimewahi kushiriki uhifadhi hasa WA wanyama hawa...jicho La nchi kiulinzi liko hapa Na serikali inawekeza billions of money ..wananchi wanaozunguka hifadhi KAZI mnayo! (Sina Picha zozote)
He!!! bwakila !!!! wamemgusa huyo??? wamesahau yaliyotokea kaka yake joni alivyokufa!!! si bora hata wangemuua yule aliyepunea chupuchupu kuliwa na KARYOBANGI leo huko kenya?
 
Kuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuwawa Kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya alhamis iliyopita (31 may, 2018) askari wa mamlaka hiyo walivamia kijiji cha Bulati Kata ya Nainokanoka Na kutembeza kichapo Kwa wananchi WA kijiji hicho wanaodaiwa kumuua mnyama huyo adimu duniani.

Ikumbukwe kua wanyama hao wamefungwa GPRS devices ambazo sinasaidia kwenye ulinzi dhidi ya majangili.

Inasemekana kwamba Faru huyo alitorokq hifadhini Na kuelekea katika kijiji hicho Na baada ya kipigo cha mbwa koko walichopewa wananchi wakatoa ngozi waliokua wameificha ndani.

Uongozi WA mamalaka una-haha kuficha Taarifa hii isimfikie pogba!

Nb: Nimewahi kushiriki uhifadhi hasa WA wanyama hawa...jicho La nchi kiulinzi liko hapa Na serikali inawekeza billions of money ..wananchi wanaozunguka hifadhi KAZI mnayo! (Sina Picha zozote)

Duh!! Mkulu naye amepachikwa POGBA!!! 🙁
 
Dah!, GPRS haijafanya kazi yake ya kumlinda faru huenda alivaa kama saa siyo kama kifaa cha kumsaidia kulinda uhai wake
 
Kuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuwawa Kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya alhamis iliyopita (31 may, 2018) askari wa mamlaka hiyo walivamia kijiji cha Bulati Kata ya Nainokanoka Na kutembeza kichapo Kwa wananchi WA kijiji hicho wanaodaiwa kumuua mnyama huyo adimu duniani.

Ikumbukwe kua wanyama hao wamefungwa GPRS devices ambazo sinasaidia kwenye ulinzi dhidi ya majangili.

Inasemekana kwamba Faru huyo alitorokq hifadhini Na kuelekea katika kijiji hicho Na baada ya kipigo cha mbwa koko walichopewa wananchi wakatoa ngozi waliokua wameificha ndani.

Uongozi WA mamalaka una-haha kuficha Taarifa hii isimfikie pogba!

Nb: Nimewahi kushiriki uhifadhi hasa WA wanyama hawa...jicho La nchi kiulinzi liko hapa Na serikali inawekeza billions of money ..wananchi wanaozunguka hifadhi KAZI mnayo! (Sina Picha zozote)
yani acha wauwawe tu. Mtatumiaje mabilion kuyatunza mifaru na mitembo wakati binadamu wenzenu mnawabomolea nyumba/makazi na matusi juu. Wengine mlo mmoja tu shida. Unadhani mungu anapendezwa.
 
Kijiji cha Inyanchoka wilayani Serengeti Mkoani Mara,wananchi wanafanya makusudi kuikomoa serikali...kilio kikubwa cha wajasiriamali wa kijiji hiko wana demand shughuli za " cultural tourism " walizokua wanafanya kabla ya "single entry" kuanza basi zirejee

Awali walikua wananufaika Na uwepp WA watalii..skuizi ukiacha miradi ya ujiran Mwema basi hakuna direct impact wanayo Iona ndio sababu wanakomesha! Kwanini kijiji kama Bhonchugu hawafanyi ushenzy huu Na kuna nyakati tembo wanatorokea kijiji vyao? Idara ya ujiran mwema Na ulinzi ziongeze informers!
kama ndio iko hivyo " Afadhali waendelee kuwapa sumu hivyo hivyo " mwaga mboga na mwaga ugali "" nchi ya wote hii" so iweje manufaa ya rasilimali asili zilizopo ziwanufaishe tu baadhi ya watu Fulani "" waambie waje ni wapatie sumu nyingine "" .....ninayo ile ya wa Russia " waliyoitumia kutaka kumdedisha yule jasusi wao mnoko mnoko aliyepewa hifadhi Uingereza
 
Back
Top Bottom