Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha haha daaahbado tupo ofisini mdau
ile gprs tuliyomfunga ni showoff tu wala hata haifanyi kazi
Ha hahaha huku mtaani baadhi ya wahuni wanamuita bichwa kubwaYaani mie nimecheka kweli Pogba [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aaah Ahhh umeua mkuuHapana si kweli, wameishinda Kariabangi kwa mikwaju ya penati na kutinga nusu fainali.
Hahahaha Sergei Skripalkama ndio iko hivyo " Afadhali waendelee kuwapa sumu hivyo hivyo " mwaga mboga na mwaga ugali "" nchi ya wote hii" so iweje manufaa ya rasilimali asili zilizopo ziwanufaishe tu baadhi ya watu Fulani "" waambie waje ni wapatie sumu nyingine "" .....ninayo ile ya wa Russia " waliyoitumia kutaka kumdedisha yule jasusi wao mnoko mnoko aliyepewa hifadhi Uingereza
hahaha huyo huyo"" akamponza na binti yake " kwaajili ya kupenda unoko ""...Hahahaha Sergei Skripal
Yaani bilions zimewekwa kwenye wanyama wakati Muhimbili CT SCAN imekufaKuna Taarifa ambazo zinatajwa kuhusu kuuwawa Kwa Faru mmoja Aliyekuwa anahifadhiwa Na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro
Taarifa kutoka chanzo cha uhakika wilayani humo zinasema kwamba siku ya alhamis iliyopita (31 may, 2018) askari wa mamlaka hiyo walivamia kijiji cha Bulati Kata ya Nainokanoka Na kutembeza kichapo Kwa wananchi WA kijiji hicho wanaodaiwa kumuua mnyama huyo adimu duniani.
Ikumbukwe kua wanyama hao wamefungwa GPRS devices ambazo sinasaidia kwenye ulinzi dhidi ya majangili.
Inasemekana kwamba Faru huyo alitorokq hifadhini Na kuelekea katika kijiji hicho Na baada ya kipigo cha mbwa koko walichopewa wananchi wakatoa ngozi waliokua wameificha ndani.
Uongozi WA mamalaka una-haha kuficha Taarifa hii isimfikie pogba!
Nb: Nimewahi kushiriki uhifadhi hasa WA wanyama hawa...jicho La nchi kiulinzi liko hapa Na serikali inawekeza billions of money ..wananchi wanaozunguka hifadhi KAZI mnayo! (Sina Picha zozote)
Kwanza anyongwe aliyemuua AkwilinaHao wauwaji wanyongwe mpaka kufa, that’s all!
Nini iundwe papuchee au,malizia bna unatuchangwa sisi tunaona mbaliNaomba iundwe Mara moja
Faru ana umuhim kuliko ct scan yako kitulize dogo!Yaani bilions zimewekwa kwenye wanyama wakati Muhimbili CT SCAN imekufa
PapucheeNini iundwe papuchee au,malizia bna unatuchangwa sisi tunaona mbali