Tetesi: Kuna taarifa za Faru kuuawa Ngorongoro

Tetesi: Kuna taarifa za Faru kuuawa Ngorongoro

Hivi simba wakimvamia faru wakamuua imekaaje..?
 
Kuna walakini hapa. Haiwezekani! Faru amefungwa GPRS na mara zote hawa faru wanakuwa ktk maeneo rahisi kuwa spotted! Wakati anatoka hifadhini Wahusika walikuwa Wapi? Nini kilichowajulisha waende uelekeo wa Nainokanoka na sii kwingine?
Hisia zangu zinaniambia kuwa sii Wananchi waliomuua huyo Faru. Wahusika wapo humohumo! Kilichofanyika Ni kwenda kupandikiza hiyo ngozi kijijini ili kuwe na justification ya kichapo chenye lengo la kuficha ukweli! Yote kwa yote, wahusika wa ulinzi wa huyo Faru wanapaswa kuwa Mahabusu by now! Kigwangala hapa umetegwa, shughulisha AKILI YAKO VIZURI!
 
Kuna walakini hapa. Haiwezekani! Faru amefungwa GPRS na mara zote hawa faru wanakuwa ktk maeneo rahisi kuwa spotted! Wakati anatoka hifadhini Wahusika walikuwa Wapi? Nini kilichowajulisha waende uelekeo wa Nainokanoka na sii kwingine?
Hisia zangu zinaniambia kuwa sii Wananchi waliomuua huyo Faru. Wahusika wapo humohumo! Kilichofanyika Ni kwenda kupandikiza hiyo ngozi kijijini ili kuwe na justification ya kichapo chenye lengo la kuficha ukweli! Yote kwa yote, wahusika wa ulinzi wa huyo Faru wanapaswa kuwa Mahabusu by now! Kigwangala hapa umetegwa, shughulisha AKILI YAKO VIZURI!
Sahihi kabisa!! actually mantiki mzima ya Uzi huu ni hicho ulichodokeza!
 
yani acha wauwawe tu. Mtatumiaje mabilion kuyatunza mifaru na mitembo wakati binadamu wenzenu mnawabomolea nyumba/makazi na matusi juu. Wengine mlo mmoja tu shida. Unadhani mungu anapendezwa.
Nilikuwa natafuta comment kama hii, ili kama nisingeiona ningecomment kwa maneno ya kufanana na haya. Asante sana mkuu
 
Sio nonsense jombaa...kitu kinaitwa linda rasimali yako
Watu wanapiga pesa tu hakuna kulinda hapo ndio maana kauawa,watu wanapiga billions za bure,angekuwa full monitored hasingeuliwa.
 
Back
Top Bottom