Tetesi: Kuna taarifa za Faru kuuawa Ngorongoro

Kama faru alitoka mbugani na kuingia kwenye makazi ya watu walitegemea watu wangemfanya nini mnyama huyo hatari?Hukumu ya kifo ndiyo saizi yake kabla ajaleta maafa.
 
Hao wananchi wachukuliwe hatua mara moja ....
 
Kama ni faru magufuli.... faru ndugai au fausta imekula kwao....

Hao rhino wanatunzwa kama raisi mwenyewe.....
 
Reactions: SDG
Hahahaha Sergei Skripal
 
hilo faru lingekua linazaliana kama binadamu au panya kusingekua na shida hii!!
 
Yaani bilions zimewekwa kwenye wanyama wakati Muhimbili CT SCAN imekufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…