OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Watoza ushuru Hao MkuuToa taarifa inayoeleweka vinginevyo ni majungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoza ushuru Hao MkuuToa taarifa inayoeleweka vinginevyo ni majungu.
TRA? POAWatoza ushuru Hao Mkuu
Unatakiwa uwe Great Thinkerkama bado unaificha hainamana kuweka hum hum tuweke tarifa ambazo zimekamilika broo
kama sio kijito basi ni upangaUkituliza vizuri kabisa akili zako na ukarudia tena kusoma nilichokiandika haraka sana utaweza kuwajua ninawasema akina nani au taasisi ipi ILA kama umetega ' misikio ' yako hiyo mikubwa kama ' mapaja ya tembo ' nikutajie ni akina nani utasubiri mno Mkuu kwani siwezi kuwataja ng'o. Yaani hapo katika namba 1,4 na 7 bado tu umeshindwa kuwajua ni akina nani Mkuu? Kweli akina ' Bashite ' mpo wengi nchini Tanzania hakyanani.
Its only narrow minded thinking that enjoys foolishness created by the same/similarbmind. PumbavuZa chini ya Kapeti kutoka katika Taasisi moja ni kwamba kumbe ' Mukulu ' mwenyewe kwanza alitaka mishahara yao ipunguzwe kwakuwa ni mikubwa halafu hata tija yao si kubwa kivile ila watangulizi wake wakamshauri kuwa asifanye hivyo kwani ingeweza kumletea shida kidogo hata yeye kwa ' ustawi ' wake kama ambavyo ilishawahi kutaka kumtokea mtangulizi wake namba mbili ( katikati ya kwa Mwalimu na kwa Warioba ) na akakubali kwa yeye pia kuwapa sharti ( hiyo taasisi ) kuwa kuanzia sasa hakuna ' Watumishi ' wake kupandishwa Vyeo na kwamba ameagiza hata mishahara yao ya sasa ibaki kuwa hii hii kwa muda wa miaka mitano ( 5 ) ijayo ndipo atawafikiria.
Baada ya kulisikia hili binafsi nikafanya ' kajiuchunguzi ' kangu kadogo tu na kuweza kuona dalili za ' kutukuka ' kabisa ya hizo taarifa nilizopewa za chini ya kapeti kwani ni ukweli sasa kuwa hao Watu sasa hivi......
Nichukue tu fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Mukulu kwa maamuzi yake haya kwani huku ' mitaani ' tulikuwa tunanyanyasika na ' kukanyagiwa ' mno Mademu kama siyo Wake zetu hali ambayo ilikuwa inatukera hadi sasa tukaanza kuwaza kuwa kwakuwa hatuwawezi kwa Ngumi basi ' tuwaroge ' tu kwa kuwatoa ' mishipa ' au kuwatupia ' majini ' ili tuheshimine vizuri.
- Hawatongozi tena hovyo.
- Hawalewi hovyo.
- Hawapigi wenzao hovyo kwa jeuri yao ya pesa.
- Nyuma walikuwa wakihonga Mipesa ila sasa wanahonga Vijihela tu vya ngama.
- Wana adabu zote kwa wanajamii wanaowazunguka.
- Wanatulia majumbani mwao sana na wanawaheshimu mno Wake zao kuliko zamani.
- Wamekuwa ' wabahili ' sana na wamegeuka kuwa wapangaji ' bajeti ' wazuri mno.
Akhsante Mukulu na hii ndiyo Tanzania ya usawa ambayo siku zote sisi tulikuwa tunaitaka. Heko!
Its only narrow minded thinking that enjoys foolishness created by the same/similarbmind. Pumbavu