Mbona hamkushangaa Rafiki yenu aliyewajengea Msikiti na Misikiti Hayati Ghaddafi alipompandisha Vyeo Mwanae?
Mbona hamkushangaa Hayati Rais Laurent Kabila alivyompandisha Vyeo Mwanae Joseph Kabila?
Kwanini kila mara Rais Museveni akimpandisha Vyeo vya Kijeshi Mwanae Muhoozi mnawashwawashwa?
Acheni Wivu na Uswahili huyo Mtoto ameiva Kijeshi na anastahili kuwa hapo alipo Kijeshi na ni Shujaa pia wa East Africa.
Wanafiki wakubwa nyie.