Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Imepita miaka mingi wilaya ya masasi imegubikwa na mambo ya hovyo hovyo na hayaondoki kila siku hujirudia na utadhani hakuna viongozi wanaopaswa kutatua kero hizo
1. Umeme, sidhani kama kuna wilaya ambayo inaongoza kwa kukatakata umeme kama masasi
2. Barabara zilizobomolewa kuacha bila matengenezo kwa mda mrefu
3. Wakulima kutolipwa pesa zao za mazao na
4. Huduma mbovu za afya kitu kodogo wameshakupiga transfer hospitali ya ndana ndanda
Sio mkuu wa wilaya sio mbunge wote wanaishi vyeo ambavyo hawavitendei haki
Viongozi wa masasi wanachafua Serikali na wnamchafua mh raisi kwa uvivu na uzembe
Na kuna wasi wasi mkubwa kua ni hujma zinazotengenezwa kwa makusudi
1. Umeme, sidhani kama kuna wilaya ambayo inaongoza kwa kukatakata umeme kama masasi
2. Barabara zilizobomolewa kuacha bila matengenezo kwa mda mrefu
3. Wakulima kutolipwa pesa zao za mazao na
4. Huduma mbovu za afya kitu kodogo wameshakupiga transfer hospitali ya ndana ndanda
Sio mkuu wa wilaya sio mbunge wote wanaishi vyeo ambavyo hawavitendei haki
Viongozi wa masasi wanachafua Serikali na wnamchafua mh raisi kwa uvivu na uzembe
Na kuna wasi wasi mkubwa kua ni hujma zinazotengenezwa kwa makusudi