Kuna tatizo kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Ukweli ni kwamba kuna changamoto utakutana nazo huko mbeleni kutokana na kuoa mke mwenye mtoto wenda hata huyo mrundi baada ya miaka kadhaa akaja kumuona mtoto na lazima mzaz mwenzie atatoa ushirikia maana burundi sio mbali na kama aliweza kumtia mimba hapa atashindwaje kuja kumuona mtoto, na katika kumuona mtoto wanaweza kukumbushiana maana kiporo hakihitaji moto mwingi. hapo ndio utakumbuka kwanini wazazi walikugomea. Ushauri wangu ni raha sana kuanza maisha na ambaye hajazalishwa yaani (0-0) kuliko (1-0)
 
Mkuu nishawahi kupitia wakati kama uwo ila mzee wangu,alinikalisha nakuniambia ‘mwanangu mwanamke mzuri huwa haachwi ukiona pesa njiani watu wanakwepa jua ni pesa ya kafara “ nilimuelewa nakumtii badae nikuja pata tena mwanamke bikra mkuu. Kwaiyo tumia kichwa cha juu wewe ni mwanaume, usiendeshwe na hisia.
 
Acha kumfundisha mtu ujinga mkuu yaani aishi kwa KUSUBIRI BAHATI?
Maskini sku zote huwaza hv
 
Watu wanatoa ushauri mzuri humu hadi raha, jf ni zaidi ya kijiwe.

Nami nakazia hapohapo, single mother haolewi atakusumbua mpaka utakoma. Hapo huyo ni mke wa jamaa we unamshikia tu akija atakugongea waziwazi au kwa kujificha.
Mm nakazia usioe mwanamke mwenye mtoto utajuta mm yalinikuta tena huruma hiyo usiiweke kabisa ndio iliniponza ktk kutaka kuoa usiweke huruma mbele au kutumia hisia inatakiwa utumie akili hao wazazi wako wako sahihi mm najuta mpka kesho single mama hawafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…