Namsubiri wakwenda naye, nadhani unamfahamu. mimi ni baba yako ujuenenda chato na wewe ukawe locked!
Unataka kusema nini? Maana naona unazunguuuuka sana hebu tuweke bayana.
kama chato imependelewa kupewa lockdown, hakuna kilicho haribika nayo ni sehemu ya tz hamia kawe mkazi wa kule tena Chumba cha elf15 unapata Maisha ya pale cheapChato inaependelewa kuliko Tanzania nzima kwakuwa tu Rias wa Tanzania wa sasa anatoka huko. Nyerere hakuwa Mpuuzi hivi!
Chato Kuna watu,Dar Kuna robots za kuzalisha revenue ya serikali,kazi ni kwakoPolice wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?
Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Mmm kumbe ni kweli chato ipo under lockdown? Wasije wakafa kwa njaa tu na kuikosesha mapato serikali,nakumbuka Kuna ofisi ya TRA paleMnaotaka lockdown nendeni chato jiwe kawapa hitaji lenu la Moyo
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?
Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Sasa kama wewe sio verified na ni muoga hivyo inakusaidia mini?Wewe verified use shut your mouth. Huwezi ongea la maana vinginevyo unafuatwa na verified user! Shut up!
angalau naqweza kuandika ukweli wa rohoni mwangu... wewe huwezi katu! sana sana kujikombaSasa kama wewe sio verified na ni muoga hivyo inakusaidia mini?
Aisee ..!Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?
Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Kwani Chato hawahitaji Huduma za afya na ulinzi?Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?
Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Dar iwe under lockdown mishahara itatolewa wapi? suburi tu mwezi 7 shule zinafunguliwa iwe ugonjwa umeisha au lahPolice wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?
Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .