Tetesi: Kuna tatizo la msingi

Tetesi: Kuna tatizo la msingi

Chato inaependelewa kuliko Tanzania nzima kwakuwa tu Rias wa Tanzania wa sasa anatoka huko. Nyerere hakuwa Mpuuzi hivi!
kama chato imependelewa kupewa lockdown, hakuna kilicho haribika nayo ni sehemu ya tz hamia kawe mkazi wa kule tena Chumba cha elf15 unapata Maisha ya pale cheap
 
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Chato Kuna watu,Dar Kuna robots za kuzalisha revenue ya serikali,kazi ni kwako
 
1587893206389.png
 
Mnaotaka lockdown nendeni chato jiwe kawapa hitaji lenu la Moyo
Mmm kumbe ni kweli chato ipo under lockdown? Wasije wakafa kwa njaa tu na kuikosesha mapato serikali,nakumbuka Kuna ofisi ya TRA pale
 
DESIGNETED SURVIVAL.
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uongo,Magufuli ni rais wa Tanzania si chato pekee yake,hakuna namna rais wa nchi anaweza akaamuru wanachato wapime corona nyumba kwa nyumba wakati wengine wanasubiria vipimo vipelekwe kwanza Dar then after some days ndo wanarudishiwa majibu.Hili likifanyika watanzania Kama wanaakili timamu hawawezi kukubali
 
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Aisee ..!
Ngoja niwe ndugu msomaji tu.
 
Walivyo mmiminia risasi Tundu Lissu waliona kifo ni kitu kirahisi,sasa wanaikimbia kifo hadi wamepoteana.
Kitawafata popote mlipojichimbia wanafiki wakubwa.
 
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Kwani Chato hawahitaji Huduma za afya na ulinzi?
 
Huyu jamaa anatamani chattle iwe makao makuu ya nchi na kila kitu kihamie huko. Atamaliza mda wake na chattle haitabadilika sana.
 
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
Dar iwe under lockdown mishahara itatolewa wapi? suburi tu mwezi 7 shule zinafunguliwa iwe ugonjwa umeisha au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom