Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

Kuna tetesi Dunia inafikia ukomo, Masiha anarudi?

Wanamsemea?
Aliwaambia hakuna ajuaye siku wala saa
Alisema hakuna ajuaye siku Wala saa,

Hapo hapo akasema majira ya kuja kwake Mathayo 24.

Ndipo ujue, siku wala saa havijulikani, ila jiulize vipi kuhusu mwezi au mwaka pia havijulikani?

Ujio na uanzaji KAZI wa 666 duniani ni Ishara ya kunyakuliwa Kanisa, Kisha baada ya miaka elfu, mwisho wa Dunia kuchomwa unawadia.

Usiombe ukaachwa duniani Unyakuo utapofanyika,

Usiombe kuishi duniani mtawala akiwa shetani na Malaika waliofungwa watapoachiwa.

Time is now, the choice is yours.
 
Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.

Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.

Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama

Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
 
Ule msemo wa Pass up the blunt nigga, ndo huu nani ampokee kijiti??
1000018341.gif
 
Pia tujue hili,

Unyakuo utaanza kwanza Kisha maisha ya taabu na dhiki kuu yataanza rasmi duniani WATAKATIFU wakiwa mapumzikoni.

Baada ya miaka elfu , Yesu atakuja kuwachukua na kufufuka waliowake washindao mateso ya dhiki kuu.

Baada ya hapo ndipo ataihukumu Dunia na Ulimwengu kutupwa Ziwa la moto jehanum baada ya kuhukumu.
 
Jus gimme the light and pass the dro
Buss anotha bokkle a Moët
Gyal dem inna mi sight and I gots to know
Which one is gonna catch my flow
'Cause I'm inna the vibes and I got my dough
Buss anotha bokkle a Moët
Gyal dem lookin' hype and I gots to know
 
Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.

Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.

Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama

Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Hujakosea mkuu.

Pope Francis Urges Jews to "Kill Jesus Again"if He Returns to Earth.

Pope Francis left onlookers stunned at an Italian prison when he made a statement that sent shock waves through the Catholic Church.
 
Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.

Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.

Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama

Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Watu Yesu mnamchukuliaje?. Wait and see!
 
Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Pengine wewe bado mtoto mdogo wa 2000, ila sie wazee wako tulishaahidiwa na manabii wa kizazi kipya kuwa mwisho wa dunia ulikuwa mwaka 1978, wakachemka tena na kusema mwaka 1982 mara 1999......cha kushangaza mpaka leo bado tunapeta tu na kugawana dhambi according to dini za kuletewa.
 
Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.

Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.

Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama

Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Haha hatari fire!
 
Back
Top Bottom