Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamsemea?Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Alisema hakuna ajuaye siku Wala saa,Wanamsemea?
Aliwaambia hakuna ajuaye siku wala saa
Hujakosea mkuu.Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.
Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.
Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama
Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Watu Yesu mnamchukuliaje?. Wait and see!Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.
Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.
Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama
Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Bado sana kwa hesabu za kibinadamuKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Pengine wewe bado mtoto mdogo wa 2000, ila sie wazee wako tulishaahidiwa na manabii wa kizazi kipya kuwa mwisho wa dunia ulikuwa mwaka 1978, wakachemka tena na kusema mwaka 1982 mara 1999......cha kushangaza mpaka leo bado tunapeta tu na kugawana dhambi according to dini za kuletewa.Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
sean paul gimme the lightJus gimme the light and pass the dro
Buss anotha bokkle a Moët
Gyal dem inna mi sight and I gots to know
Which one is gonna catch my flow
'Cause I'm inna the vibes and I got my dough
Buss anotha bokkle a Moët
Gyal dem lookin' hype and I gots to know
Nikumbushe hii Y2k mkuu ilikua ni nn ? Nlikua mdogo kitambo ichoY2K nilishangaa wazungu walisema ni mwisho wa Dunia halafu cha ajabu walikuwa wanapigana vikumbo wakinunua mamia ya toilet paper na maji sijui walikuwa wanaenda nayo wapi
Hizo ndio akili za wazungu msizozijua
Nakuhakikishia Yesu haji na hatokaa aje hata wewe na ukoo wako mzima mkiishi mileleKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Haha hatari fire!Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.
Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.
Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama
Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.