Mkuu yule ni Nabii wa Uongo!Ahh ndomana kuna yule nabii arusha anasema yesu akija yeye ndy ataenda kumpokea na marange yake
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yule ni Nabii wa Uongo!Ahh ndomana kuna yule nabii arusha anasema yesu akija yeye ndy ataenda kumpokea na marange yake
Ova
Wewe Mbona unaandika vitu kuashiria kuwa una laana?Acha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.
Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.
Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama
Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Wakiachwa itabidi wajitetee kwa kukubali kuuwawa ili kumfia kristo, nawaza hayo mateso yake ni hatari.Alisema hakuna ajuaye siku Wala saa,
Hapo hapo akasema majira ya kuja kwake Mathayo 24.
Ndipo ujue, siku wala saa havijulikani, ila jiulize vipi kuhusu mwezi au mwaka pia havijulikani?
Ujio na uanzaji KAZI wa 666 duniani ni Ishara ya kunyakuliwa Kanisa, Kisha baada ya miaka elfu, mwisho wa Dunia kuchomwa unawadia.
Usiombe ukaachwa duniani Unyakuo utapofanyika,
Usiombe kuishi duniani mtawala akiwa shetani na Malaika waliofungwa watapoachiwa.
Time is now, the choice is yours.
Bado sana kwa hesabu za kibinadamu
Mkuu tatizo sio tetesi tatizoTetesi hizi hazijaanza leo hivy9 ni za kupuuzia
Kuna ka UKWELI fulani kuhusu jambo hili.......kuna watu kadhaa nikiwemo mimi nina ahadi ya kumuona masihi Yesu,,,,,yaani nina uhakika sitakufa bali nitamshuhudia akirudi duniani...na mie ni mmoja wa wachache hapa Duniani mwenye uhakika wa kwenda naye MBINGUNI,,hiiii ni special ahadi wala si masihara.......na yanayoendelea wala hayanishtui manake nimeonyeshwa BEFORE....ila kwa siku na saa..I DONT KNOWKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Huyo haamini katika KRISTO. Ni sawa na wewe umzungumzie ng'ombe wa wahindi kuwa anafaa kwa kitoweo. Watakuona kama unavyomuona huyu ilihali wewe hutokuwa na wasiwasi wowote maana huamini kama huyo ng'ombe ni MUNGU.Wewe Mbona unaandika vitu kuashiria kuwa una laana?
Unawezaje kumzungumzia MUNGU namna ulivyofanya?
Kizazi hiki ni kipi? Kila kizazi ni kizazi hiki tangu maandishi hayo yameandikwa. Vitukuu vyako vitasoma kizazi hiki, vilembwe vyako vitasoma kizazi hiki kama ambavyo mababu wa mababu zako walisoma kizazi hiki.Kivipi wakati alisema kizazi hiki hakitapita ?
Watu tukaenda bank kutoa fedha zetu tukihofia kudhulumiwa kwa kisingizio cha Y2KY2k millennium bug walitumbia computer zote zitasimama hazitafanya kazi 😄
Ova
Mwaka 82 kuna jamaa aliuza kila kitu...akawa analewa ...akisema PONDA MALI KUFA KWAJA>>>>>>>>>> akawa lofa na kufa hakufa na mwisho wa dunia hakuna.....🙂🙂🙂🙂Pengine wewe bado mtoto mdogo wa 2000, ila sie wazee wako tulishaahidiwa na manabii wa kizazi kipya kuwa mwisho wa dunia ulikuwa mwaka 1978, wakachemka tena na kusema mwaka 1982 mara 1999......cha kushangaza mpaka leo bado tunapeta tu na kugawana dhambi according to dini za kuletewa.
Wote waliokuqa wanasema dunia inaisha tangu enzi walikuwa wanalinganisha na maandiko na bado haikuisha. Achana na tetesi hizo chapa kaziMkuu tatizo sio tetesi tatizo
Tunalinganisha kile kilichoandikwa na kinachotokea yaani ni kile kilichotabiriwa yaani matukio ndio kinatokea leo.
Uki connect dots something utang'amua.
Yakitokea hayo, Mungu ameahidi ktk neno kuwa, atazifupisha siku hizo za mateso ya watu wake .Wakiachwa itabidi wajitetee kwa kukubali kuuwawa ili kumfia kristo, nawaza hayo mateso yake ni hatari.
Kanisa ni Mimi na wewe, nikisema makanisa yetu hukusanyikia JF nitakuwa sijakosea.Kanisa lako li wapi mtumishi
hizi taarifa ni za kweli. Tuna ushahidi wa humu rohoni.Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Jehanum iliwekwa ajili ya shetani na mapepo, sasa ukimsikiza shetani Kwa kuishi MAISHA ya dhambi na UOVU, utaungana naye moyoni,Hivi Mungu mwenye huruma ni wa kumtupa mwanadamu kwenye ziwa la moto kweli?nahisi baadhi ya watu mnatafsiri biblia vibaya.
Wanamsemea?
Aliwaambia hakuna ajuaye siku wala saa