😆😆😆Wayahudi wenyewe walioahidiwa Masihi bado wanamngoja sasa huyu wa Tegeta sijui ameandikwa wapi🤣Masih Dajahl ameonekana tegeta kibaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Wayahudi wenyewe walioahidiwa Masihi bado wanamngoja sasa huyu wa Tegeta sijui ameandikwa wapi🤣Masih Dajahl ameonekana tegeta kibaoni
🤣 🤣 🤣 🤣Wacha weeeee!!! CCM ataikuta?
Wewe wasema.. Kama miujiza haitokei ni kwako na kwa mwenendo wako huo utaendelea kutokuona miujiza..Jina la Yesu siku hizi kazi yake kupigana na mapepo tu. Niliuliza kwa nini haliponyi amputees ule uzi waliukimbia hakuna aliyejibu. Hakuna miujiza siku hizi ni mazingaombwe na utapeli mtupu kwenye ukristo.
Siwezi kukimbia rafiki.. Huyo Yesu anaponya hata sasa, je unaamini?Biashara za kutoa mapepo hata waganga wa jadi wanaweza. Hata wayahudi walikuwa wanawapaka watu waliopagawa kinyesi ili kufukuza pepo. Nimesema kama ni jina la Yesu wa kweli basi ponyeni amputees. Mbona mmekimbia hoja??
Alijiua mwenyewe kwa haibu wa utabiri wa kipuuzi.Mkuu hii ya mwaka 1978 ni kama Kuna nabii fulani alitabili ila sijui ikaishiaga wapi..
Ukiamini Hellen G. White na wapuuzi wengine duniani, utakuwa mjinga wa kujitakia. Jiulize tu, huyo Hellen G. White alitabiri nini kikatokea hapa duniani?Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Haiwezekani!! We nj jamaa yake na Kibwetere?! Maana mnafanana sana adi akili 🤔Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.