Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
HayaKanisa ni Mimi na wewe, nikisema makanisa yetu hukusanyikia JF nitakuwa sijakosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaKanisa ni Mimi na wewe, nikisema makanisa yetu hukusanyikia JF nitakuwa sijakosea.
Mkuu siwezi kukuta Uzi wanaoabudu Ng'ombe nikauvamia na kuanza kuandika mambo ya ajabu kama aloandika.Huyo haamini katika KRISTO. Ni sawa na wewe umzungumzie ng'ombe wa wahindi kuwa anafaa kwa kitoweo. Watakuona kama unavyomuona huyu ilihali wewe hutokuwa na wasiwasi wowote maana huamini kama huyo ng'ombe ni MUNGU.
Hizo taarifa zimekuwepo karne zote.
Taja huo mwezi na mwakaAlisema hakuna ajuaye siku Wala saa,
Hapo hapo akasema majira ya kuja kwake Mathayo 24.
Ndipo ujue, siku wala saa havijulikani, ila jiulize vipi kuhusu mwezi au mwaka pia havijulikani?
Ujio na uanzaji KAZI wa 666 duniani ni Ishara ya kunyakuliwa Kanisa, Kisha baada ya miaka elfu, mwisho wa Dunia kuchomwa unawadia.
Usiombe ukaachwa duniani Unyakuo utapofanyika,
Usiombe kuishi duniani mtawala akiwa shetani na Malaika waliofungwa watapoachiwa.
Time is now, the choice is yours.
Nina uhakika hata mwaka 300 AD wapo ambao walisema mwisho wa dunia unakaribia kumbe kilichokuwa ni mwisho wa dunia yao wenyewe!Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
UongoPia tujue hili,
Unyakuo utaanza kwanza Kisha maisha ya taabu na dhiki kuu yataanza rasmi duniani WATAKATIFU wakiwa mapumzikoni.
Baada ya miaka elfu , Yesu atakuja kuwachukua na kufufuka waliowake washindao mateso ya dhiki kuu.
Baada ya hapo ndipo ataihukumu Dunia na Ulimwengu kutupwa Ziwa la moto jehanum baada ya kuhukumu.
Wako sahihi,ingawa hatujui siku wala saa ila dalili zimeshaonekana...Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Ni heshima kuheshimu imani za wengineMkuu siwezi kukuta Uzi wanaoabudu Ng'ombe nikauvamia na kuanza kuandika mambo ya ajabu kama aloandika.
Hatopungukiwa, ni ameamua tu kutokuheshimu maana haamini kama YESU anaweza mfanya chochote. Anaamini waamini ndo watamjibu si YESU maana inawezekana haamini kama hata yupo achilia mbali kurudi..Anapungukiwa Nini kutokuandika ama kueleza maoni yake hata ikiwa Yako tofauti Kwa ustaarabu?
Hajui wala haamini.Anajua kuwa hao kina Netanyahu atakaporudi mara ya pili watafunguliwa macho na watamwamini?
Mkuu unahisi kabsaa 2027 hatutoboi hii dunia.Kuna ka UKWELI fulani kuhusu jambo hili.......kuna watu kadhaa nikiwemo mimi nina ahadi ya kumuona masihi Yesu,,,,,yaani nina uhakika sitakufa bali nitamshuhudia akirudi duniani...na mie ni mmoja wa wachache hapa Duniani mwenye uhakika wa kwenda naye MBINGUNI,,hiiii ni special ahadi wala si masihara.......na yanayoendelea wala hayanishtui manake nimeonyeshwa BEFORE....ila kwa siku na saa..I DONT KNOW
Hivi Mungu mwenye huruma ni wa kumtupa mwanadamu kwenye ziwa la moto kweli?nahisi baadhi ya watu mnatafsiri biblia vibaya.
Ule wa allykiba hujaupata bado?sean paul gimme the light
njoo ghetto ninao mkubwa mkubwa!..🤣Ule wa allykiba hujaupata bado?
Aisee zama za kuingia ghetto zilishanipita. Naingia kwenye nyumba au hotel...sio lodge.njoo ghetto ninao mkubwa mkubwa!..🤣
Kama atarudi akiwa mzungu tutamkataa wasituone sisi ni wajinga. Kwanini Yesu awe mzungu (rangi nyeupe) alafu shetani ndo awe mtu mweusi (rangi nyeusi)Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
wahaya kawaida yenu kujinasibu..😃Aisee zama za kuingia ghetto zilishanipita. Naingia kwenye nyumba au hotel...sio lodge.
Mkuu ila naamini unyakuo itakuwa kimya wala haitajulikana ila sasa baada ya kukaa huko mbinguni na kisha kurudi ndio watamwona au mimi nimetafsir vibaya.2 Petro 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁷ Lakini mbingu za sasa na nchi zimewekwa akiba kwa moto, kwa neno lilo hilo, zikilindwa hata siku ya hukumu, na ya kuangamia kwao wanadamu wasiomcha Mungu.
⁸ Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
⁹ Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani kukawia, bali huvumilia kwenu, maana hapendi mtu ye yote apotee, bali wote wafikilie toba.
¹⁰ Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwivi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.
¹¹ Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,
¹² mkitazamia hata ije siku ile ya Mungu, na kuihimiza; ambayo katika hiyo mbingu zitafumuliwa zikiungua, na viumbe vya asili vitateketea na kuyeyuka?
😃😃😃wahaya kawaida yenu kujinasibu..😃
haya tuambie ukienda hotelini unakunywaga nini..?
Uongo
chai zipo nyingi camomile, hibiscus, green tea, ginger,ice tea ama huwa unakunywa na coffee..??😃😃😃
Chai tu inanitosha.