Wavaa makobazi dunia nzima wapo huko wakimlingania huyo jamaa Yao anaetegemea nguvu za binaadamu. Hukuona hata Hapa bongo Kuna watu walivembewa tenda wanaandamana sio kuwalaani waluowaua vijana wao wanafunzi wawili Bali kuwatetea hao wauaji
Tetesi ya myahudi kwako wewe ni Biblia.
Kesho myahudi akitangaza anagawa nyumba Israel na pesa Cash kwa wayahudi wa Bonyokwa km wewe tutakukuta Airport unasubiri lift na nyumbani umeacha mume na watoto bila kuaga.