Tetesi: Kuna tetesi kwamba Kiwanda cha cement CIMERWA huko Rwanda hatarini kufungwa kwa kukosa makaa ya mawe kutoka nchini Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Kiwanda cha cement CIMERWA huko Rwanda hatarini kufungwa kwa kukosa makaa ya mawe kutoka nchini Tanzania

Nimekwambia nipo hapa Kamembe mjini.Sasa geti la CIMERWA na Mimi niliyepo Rusizi 1 hapa wapi na wapi!?
Sasa piga picha hata bango tu ili tuamini unachopsti kwa maana fake news zinatuharibia jukwaa
Piha picha hata ya mtaa tu wa cyangugu
 
Corona tutaishi nayo kwa kinga ya mwili. Wanasayansi wanapendekeza mwingiliano unasaidia kukuza kinga kwa kubadilishana backeria na virus.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee this is pure lie. Eti wanasayansi wanapendekeza muingiliano? Umesikia wapi wakisema hivyo?
Unachoongelea ni herd immunity .. ambapo 60% ya watu lazima waumwe ili 40% wapone.

Lakini kwenye hao 60% uwezekano wa kupona na kujenga kinga ya mwili ni mdogo.

+ si virus vyote vinazuiwa kwa kinga ya mwili. La si hivyo ukimwi , ebola, surua na mengine yasingekuwa tishio kwetu kabisa.

Yangeshaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna facilities za kuhifadhi mafuta pale Rusumo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni dharula mkuu, Tank to Tank,

In the long run wanaeza hata kujenga facilities hizo, hii corona italeta new normals nyingi Sana maana the way tunavyo li handle swala la korona ni dhahiri hatuwafurahishi majirani zetu.

Sent
 
Zambia walijaribu, hata siku tank waliojipangia hazijaisha, imebaki Kenya, kama kawaida yao watakuja mbio kuomba msamaha.
 
Hao walijifanya wajuaji sana waache kwanza waisome namba.

Sisi huku tunadunda maambukizi yamepungua kwa kasi, kazi kwao
 
Hali ni mbaya!

Kiwanda hicho kipo Bugarama nchini Rwanda.Inasemekana mda si mrefu kitafungwa kwa kukosa malighafi ya makaa ya mawe ambayo kwalo huwa yanatoka upande wa Tz.

Ikumbukwe leo ni takribani siku ya 18 mpaka baina ya Tanzania na Rwanda haufanyi kazi kwasababu ya madereva wa Tanzania kupinga unyanyasaji na kubaguliwa huko upande wa Rwanda.

Mmeanza ngonjera zenu, sijui nani aliwadanganya kuwa mkisema uongo unageuka kuwa ukweli!

Unajua parent company ya hicho kiwanda cha cement unachokielezea hapa? Basi kampuni mama wameamua kuuza assets zake na si Rwanda tu bali hadi South Africa baada ya kuona biashara zao ukanda waliopo hazifanyi vizuri.

Na ni habari ya siku nyingi tu hata kabla ya corona. Tafuta the East African Standard toleo la wiki hii utaona habari hiyo.
 
Unaona kiwanda cha Rwanda kufungwa umeangalia upande wa pili makaa ya mawe kudoda na pesa kukosa hili swala ni kotekote japo mwenye kiwanda anaweza kutafuta kwingine si kwamba makaa yapo Tanzania tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo kaka,mim huwa najiuliza kwanini wanaijia wao wenyewe ?? Kwanini wasipelekewe kama viwanda vya Uganda vinapelekewa makaa ya mawe na trucks za Tz
Aisee kumbe ndio mana ule utitiri wa zile trucks za blue zizioni, kwa wngi wa zile gari ni wazi hicho kiwanda kinategemewa na wengi!

Sent using Jamii Forums mobile app

California love
 
Aisee this is pure lie. Eti wanasayansi wanapendekeza muingiliano? Umesikia wapi wakisema hivyo?
Unachoongelea ni herd immunity .. ambapo 60% ya watu lazima waumwe ili 40% wapone.

Lakini kwenye hao 60% uwezekano wa kupona na kujenga kinga ya mwili ni mdogo.

+ si virus vyote vinazuiwa kwa kinga ya mwili. La si hivyo ukimwi , ebola, surua na mengine yasingekuwa tishio kwetu kabisa.

Yangeshaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata mimi nimelisikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom