Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Ok siwezi kukupinga au kukubaliana nawe ila ngoja tusubiri muda ukifika Trump akikabidhiwa madaraka najua atakuwa na kiherehere cha kuanza kutawala atatangaza tu.
 
Wengine MNA haki ya kusema maneno makali ya kuudhi tukiaema side tunapanda Kwa mkazi bila shamana sasa kama mnatafuta hayo hamumpati MTU nyie fanyeni mtakayo kwani dunia yenu,
 
Twaumia sie, unadhani faru John atakosa majani ya kupooza njaa pale jengo kuu?
 
Mbona wanachelewa? Naomba isiishie tetesi iwe kweli
 
weka source ya habari yako, vinginevyo ni majungu tu hayo.
 
Matatizo yaliyopo ni mengi na sababu sio Marekani wala misaada ya wahisani.....kuna tu haliko sawa na huu ndio ukweli wenyewe!
 
Kwani yeye atadhulika nini nahivyo vikwazo anakula buree,kulala buree kila kitu anapata.Tutaumia sisi wa huku mtaani ambao tayali kaonesha hajali mateso yetu
 
Kwani yeye atadhulika nini nahivyo vikwazo anakula buree,kulala buree kila kitu anapata.Tutaumia sisi wa huku mtaani ambao tayali kaonesha hajali mateso yetu

Lengo lao ni hilo kwamba tuumie ili tujitafakari sababu ya kuumia.
Wenyewe wanaamini hakuna maendeleo bila Maumivu na hakuna Demokrasia bila maumivu.
 
shida za wananchi kwa watawala wa Afrika asiwashitui labdawapate shida wao ndio inawauma
 
Rais wa USA mtarajiwa kaingia kwa nguvu za Urusi ana nguvu gani za kuhoji Tanzania kama anamkubali putin, ila akili za bavicha changanya na zako kidogo utambue kuna Dunia kubwa zaidi ya kile kibanda pale Ufipa
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Kwani Obama atafanya haya mambo ndani ya wiki mbili kabla ya Trump kuingia ofisini?
NINA MASHAKA na huu uzi!!
 
TE="1954, post: 19169440, member: 583"]Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivy



...[/QUOTE]

Sawa saw a kibano kije ili mchunga ng'ombe ajitambue


Sawa
 
Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?

Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.

Unajuaa maana ya tetesi kweli?
 
Back
Top Bottom