Mimi Naomba Sana Marekani waweke vikwazo.
Maana uonevu wa kikatili umezidi kwenye hili taifa, acha vikwazo vije, Kama kuumia ma ccm mengi ndo yataumia maana yapo mengi na ndo majinga zaidi.
Kama kufa acha tufe tu Kwa shida, nchi imefikia pabaya Sana hii, na si Zanzibar tu, hata Tanzania bara hali ni mbaya Sana, kuna mtu anajifanya mungu na hataki kukosolewa hata kidogo na ameminya demokrasia na Uhuru wa habari.
kwanza naona Marekani wanachelewa tu, taifa limekosa dira, imekuwa kila Siku ni kufukuza watu hovyo Kwa Sababu za hovyo.
Kikwete umetuachia legacy mbaya Sana.