Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Mimi Naomba Sana Marekani waweke vikwazo.
Maana uonevu wa kikatili umezidi kwenye hili taifa, acha vikwazo vije, Kama kuumia ma ccm mengi ndo yataumia maana yapo mengi na ndo majinga zaidi.
Kama kufa acha tufe tu Kwa shida, nchi imefikia pabaya Sana hii, na si Zanzibar tu, hata Tanzania bara hali ni mbaya Sana, kuna mtu anajifanya mungu na hataki kukosolewa hata kidogo na ameminya demokrasia na Uhuru wa habari.
kwanza naona Marekani wanachelewa tu, taifa limekosa dira, imekuwa kila Siku ni kufukuza watu hovyo Kwa Sababu za hovyo.
Kikwete umetuachia legacy mbaya Sana.
Kama una hamu ya kufa sio lazima usubiri vikwazo jiue tu
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
mkuki kwa nguruwe siyo? mbona serekali yenyewe imewawekea hao CUF & CHADEMA vikwazo - tena kinyume cha katiba!
 
Mbona baba j anafurahia watz kuwa maskini na anaapa kabisa lazima aendelee kubana pesa ili tuishi kama mashetani , humshangai?
Nasisi tunasema bora hao wahisani watunyime misaada kama kufa tufe tu ili nchi iwashinde kuongoza watz wafunguke akili
Unasubiri kufa na nani jiue tu uondokane umaskini anaokulazimisha magufuli.
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Huna hata aibu. hata tetesi ina source ila habari hii inaonekana mleta hoja ndio source. natia shaka ni wale nyumbu hawalali kutafuta au kutunga habari mbaya kuhusu serikali ya jpm
 
Mkuu nani alikuambia kila utawala huwekwa na Mungu?
Hebu jiulize hapa chini.
1.Idd Amin aliwekwa na Mungu?
2.Bokassa(Central Africa) aliwekwa na Mungu?
3.Adolf Hitler aliwekwa na Mungu?
4.Mussolin (Italy) aliwekwa na Mungu?
5.Habre (Chad) aliwekwa na Mungu?
6.Sani Abacha (Nigeria) aliwekwa na Mungu?
7.Saddam Hussein aliwekwa na Mungu?
8.Mobutu Seseko aliwekwa na Mungu?
9.Charles Taylor (Liberia)aliwekwa na Mungu?
10.Ferdinand Marcos (Philippines) aliwekwa na Mungu?

Kuna tawala zinatoka Kwa Lucifa moja Kwa moja, maana hata Lucifa hujiita mungu.
Hakuna utawala unaowekwa na mungu wala shetani kwani wao huwa hawapigi kura
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CCM au CUF Lipumba...unafurahia uporaji wa ushindi wa CUF Zanziabar walioufanya CCM? Wacha vikwazo viwekwe ..dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa CCM haiwezi kutawala milele...
Cuf hawajaporwa ushindi wamesusa wengine wala.
 
Bora waweke vikwazo labda tutakua na ya njaa chakula lakini tukawa na shibe ya demokrasia na kuepusha michafuko inayoweza kutokea kwa makijani kukutaa uamuzi kura kutumia majeshi kunyang'anya haki wa watanzania
Acha utabiri
 
Mio nashangaa sana watu kuwatetemekea hao makahaba wa kizungu ????!!!*wao sio Mungu toka wazuia msaada wa mcc mbona Maisha yanaendelea tubadilike mtazamo Haifa hili liliharibika sababu ya kupenda misaada mkulu aliyepita alikua anatembeza bakulili usiku na mchana Mbona hakuna alichofanya cha maana???
 
Waweke tu hivyo vikwazo ili viongozi wetu nao wanyooke
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
huyo barosi wa marekani ataambiwa aaondoke kwani atatuletea chakura.
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
we we unafurahia kuminywa kwa haki za binadamu, mnazi mkubwa wewe.
 
Huyu mwandishi wa hii habari atakuwa siyo mtanzania na kama akiwa mtanzania basi atakuwa mfuasi wa kile chama kinachoiombea nchi majanga.
 
Hizo ni story tu uhalisia unaujua, vita vya irak baraza la usalama ambalo ndilo lenye nguvu lilikataa kuivamia irak Marekani ikaamua yenyewe, Bush akasema, "if you are not with us you are with them" nani alikohoa.
Afadhali umweleweshe ndugu yetu na mfano mrahisi ni ishu ya Israel kujenga kwenye makazi ya Palestine, UN wametoa katazo Marekani wanasapoti sasa hapo nani mwenye nguvu, hizo nyingine ni stori tuu kama ulivyosema Mkuu. Kikubwa tusiombee vikwazo watakao umia ni wananchi wa kawaida na ndivyo ilivyo duniani kote.
 
Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?

Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.
mbona unaonekana una hofu sana
 
Back
Top Bottom