proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda ule wkt unamtia huku umeweka mziki mkubwa wimbo ukiwa wa harmonize 'amelowaaaaa amelowaaaa amenyeshewa na mvuaaaaaaaa' [emoji1][emoji1]
power seif sijui mepatia. AZUMA TBS kwisha kaziWakuu habari. Natumaini ni wazima wa afya.
Nna kijana wangu anasumbuliwa na gono na amepata matibabu mapema na kama liza dozi. Lakini halia ake bado ni ngumu haileti matumaini. Ushauri wenu jamani..ipi njia nyingine ya kufanya aweze pona .Na dWa alizo tumia ni cefixeme.
Nasumbuliwa Sana na huu ugonjwa msaada hospital ulipoendaNenda hosi ukafanyiwe culture na uende hosi ya kueleweka ukienda hizi hosi uchwara utakula madawa na kuchomwq sindano mpaka ufe na hutapona mimi ilinitesa sana mpaka kukutana na daktari mjuzi ndio akanisaidia
Embu kama imeshindikana kabisa muone daktari wa mifugo kwa sababu hata wanyama kama mbwa na punda washikwa kuna jamaa angu alipewa dozi ya hawa wanyama akapona. ππ£π¨π¨ ππNasumbuliwa Sana na huu ugonjwa msaada hospital ulipoenda