Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Mechi sikuiangalia imenibidi kuangalia marudio Azam tv ili nilione hilo goli. Mkuu embu nieleweshe kwanini unasema ni offside? Ni wakati upi mchezaji wa Yanga alikuwa kwenye offside position?Refa kaibeba yanga refa kawapa goli la offside