Kuna timu huenda ikamaliza ligi bila kufungwa hata mechi moja ila hawatachukua ubingwa.

Kuna timu huenda ikamaliza ligi bila kufungwa hata mechi moja ila hawatachukua ubingwa.

Achana nao hao Mnyero fc, wanashangilia viporo wakati bado hawajavicheza. Ni sawa na kusherekea kupata mtoto wkt hujui mke wako atajifungua salama au la. Mnyero jifunzeni kushukuru ulichonacho mkononi tayari. Matokeo ya kutarajiwa ni majaliwa tu, unaweza kupata au kukosa pia, kumbuka opponent wenu kwenye hivyo viporo nao wanazitaka hizo points. Hivyo siyo rahisi Kama mnavyodhani.
Inaonyesha bado mvulana.
 
Unaita timu ya wananchi utopolo?? Utafungwa wewe...
Huu msimu ni wetu, kombe letu #daimambelemwikonyuma
 
Back
Top Bottom