Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ndo kawaida yao Simba SC.. Ndo maana wameitwa Wanalunyasi ila burudani inaharibika wakiwa na Vyura FC, kwavile mpira wao wanabutua butua mnoKabumbu la Simba jana ilikuwa balaa,Azam walikaa japo wameshinda
Hongera Azam FC