Siyo wa kutakaswa huyo.Ni wa kufukuziwa baharini aliwe na samaki.Damu ya Yesu Ikutakase; toka Pepo mchafu
Mchambuzi unaweza kutuchambilia pia mechi ya Simba queen vs Yanga ?Japo hatutaki hili litokee ..... tuendelee kuiombea hiyo timu lkn it's a destiny lazima wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni
So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni impossible lazima hii timu Toka kule ukoloni fc ishike mkia
NB: tuombe lisitokeeView attachment 2837830
Sina timu mkuu..... nadhani unaelewa ethics za kazi ya uchambuzi wa sokaMchambuzi unaweza kutuchambilia pia mechi ya Simba queen vs Yanga ?
Vipi mmeandaa pia bango la mkono wa nyani ?
Karibu mchambuzi wa walioko mkiani aka masare daima utuchambulie kilichowapata mademu wenu mdebwedo [emoji23][emoji23]
Kwa nini unakwepa majukumu bosi, umepungukiwa nini nikuongezee ili uchambue na kilichowapata Yanga queen pale Chamazi usiku huu?Sina timu mkuu..... nadhani unaelewa ethics za kazi ya uchambuzi wa soka
Na watasusa kuingia uwanjani mechi ijayo Dar.Japo hatutaki hili litokee tuendelee kuiombea hiyo timu lakini it's a destiny lazima Wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni
So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni impossible lazima hii timu Toka kule ukoloni fc ishike mkia
NB: Tuombe lisitokee.
View attachment 2837830
Hilo la lolote linaweza kutokea popote hapa tunazungumzia kushika Mkia huku imefungwa magoli 5Japo pia hiyo timu ..... kwenye kundi lake ....lolote linawezekana