Kuna timu itashika mkia Leo Baada ya mechi na Wydad

Kuna timu itashika mkia Leo Baada ya mechi na Wydad

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Japo hatutaki hili litokee tuendelee kuiombea hiyo timu lakini it's a destiny lazima Wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni

So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni impossible lazima hii timu Toka kule ukoloni fc ishike mkia

NB: Tuombe lisitokee.

1702008546284.jpg
 
Japo hatutaki hili litokee ..... tuendelee kuiombea hiyo timu lkn it's a destiny lazima wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni

So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni impossible lazima hii timu Toka kule ukoloni fc ishike mkia

NB: tuombe lisitokeeView attachment 2837830
Mchambuzi unaweza kutuchambilia pia mechi ya Simba queen vs Yanga ?

Vipi mmeandaa pia bango la mkono wa nyani ?

Karibu mchambuzi wa walioko mkiani aka masare daima utuchambulie kilichowapata mademu wenu mdebwedo 😂😂
 
Mchambuzi unaweza kutuchambilia pia mechi ya Simba queen vs Yanga ?

Vipi mmeandaa pia bango la mkono wa nyani ?

Karibu mchambuzi wa walioko mkiani aka masare daima utuchambulie kilichowapata mademu wenu mdebwedo [emoji23][emoji23]
Sina timu mkuu..... nadhani unaelewa ethics za kazi ya uchambuzi wa soka
 
Mashabiki wa MWIKO NYUMA FC ni sawa na dume la mbwa..


Anayefanya mapenzi na jike ni mwingine lakini huku pembeni pia kuna madume mengine yanakata mauno..na kulia kimahaba.
 
Mashabiki wa MWIKO NYUMA FC ni sawa na dume la mbwa..


Anayefanya mapenzi na jike ni mwingine lakini huku pembeni pia kuna madume mengine yanakata mauno..na kulia kimahaba.
Kunywa maji mengi moyo uelee mkuu
 
Japo hatutaki hili litokee tuendelee kuiombea hiyo timu lakini it's a destiny lazima Wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni

So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni impossible lazima hii timu Toka kule ukoloni fc ishike mkia

NB: Tuombe lisitokee.

View attachment 2837830
Na watasusa kuingia uwanjani mechi ijayo Dar.
 
Back
Top Bottom