Kuna Timu ya Tanzania ipo kweli Pre Season na nyingine iko busy Kutambulisha jezi vibonzo zao katika jezi

Kuna Timu ya Tanzania ipo kweli Pre Season na nyingine iko busy Kutambulisha jezi vibonzo zao katika jezi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuna Watu kweli hamnazo kabisa yaani Wewe una Mechi ngumu mno ya CAF CL badala ya kujiandaa vyema uko busy Kutambulisha Jezi Vikaragosi zao na Mwali wao Mzungu Pori.

Halafu baadae Mwanamume aliyejiandaa vyema kwa Mashindano yote yajayo kama Kawaida yake akibeba Vikombe vyote mtaanza kusema anabebwa na kuwaaminisha Ujinga na Upumbavu Mashabiki wao ambao nao 85% ni hamnazo vile vile tu.

Kama mnadhani kwa Kumkaribisha huyo Mzungu Pori na Mwali wenu ndiyo mtaogopwa na Referees wa CAF CL hivyo mtamfunga Mnaijeria na mwenye Pira Biriani na Pira Sharma lake tarehe 29 Septemba, 2021 mnajidanganya ila najua Mechi hizi Mbili tu ndizo zitawafarakanisha na Kuzuka kwa Mgogoro mkubwa sana.

Anzeni kutunga Visingizio vyenu upesi.
 
Yanga kuna tatizo mahala wako busy na shangingi lililo achwa linalopoka harafu watu hatulijibu .sisi tunaandaa timu kwa mashindano na kchukua makombe wao waache wapige gubu.
Wanasubiri kuwalaumu waamuzi na TFF na magoli yao 30 msimu mzima huku wamefungwa goli 20.

Hadi sasa hivi Simba ishacheza mechi mbili za kirafiki za kimataifa wao wanacheza na Manara, na kulingishia tambo za Jezi.
Kweli GSM kawashika pabaya.
 
Back
Top Bottom