Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Wakulungwa Kuna tofauti gani kubwa kiviiiiiiiiiiileeee Kati ya Hawa vijana wawili.
1. Ana watoto hajafunga ndoa na anaishi vizuri na mkewe na Wana watoto wazuri tu na wanatarajia kufunga ndoa Mambo yakikaa sawa.
2. Amefunga ndoa ila hana watoto ila Mungu atawajalia watapata.
Kati ya hao wawili Nani kamzidi mwenzake?
Mkulungwa makusudi
1. Ana watoto hajafunga ndoa na anaishi vizuri na mkewe na Wana watoto wazuri tu na wanatarajia kufunga ndoa Mambo yakikaa sawa.
2. Amefunga ndoa ila hana watoto ila Mungu atawajalia watapata.
Kati ya hao wawili Nani kamzidi mwenzake?
Mkulungwa makusudi