Kuna tofauti gani kati ya kuagiza gari nje ya nchi au kununua magari yanayouzwa 'yard' hapa nchini kwetu?

Kuna tofauti gani kati ya kuagiza gari nje ya nchi au kununua magari yanayouzwa 'yard' hapa nchini kwetu?

Nawajua watu wananunua yard tu maana kusubiri na zile paperwork process pamoja na simu nyingi anaona bora anunue chap yard,pia anasema yard hua bei inaweza ikaongezeka kidogo ila gari la uhakika sababu wale wa yard hawanunui famba,anasema wenye yard wengi(Pakistanis) hawategemei faida ya gari ila mishe nyengine so ni waaminifu.
Hao wapakistan yard zao ni kama zipi?
 
Kununua kwenye Showroom za hapa kwetu ni nzuri kama Gari halijachakachuliwa km kuliko kuagiza toka Japan labda liwe kwenye stock ya Kampuni husika kuliko lililopo kwa third party
 
Nawajua watu wananunua yard tu maana kusubiri na zile paperwork process pamoja na simu nyingi anaona bora anunue chap yard,pia anasema yard hua bei inaweza ikaongezeka kidogo ila gari la uhakika sababu wale wa yard hawanunui famba,anasema wenye yard wengi(Pakistanis) hawategemei faida ya gari ila mishe nyengine so ni waaminifu.
Yard ya hao Wapakistan naipata sehemu gani ndugu?
 
Nawajua watu wananunua yard tu maana kusubiri na zile paperwork process pamoja na simu nyingi anaona bora anunue chap yard,pia anasema yard hua bei inaweza ikaongezeka kidogo ila gari la uhakika sababu wale wa yard hawanunui famba,anasema wenye yard wengi(Pakistanis) hawategemei faida ya gari ila mishe nyengine so ni waaminifu.
 
People are programmed to be consumers not producers. We take pride on using, spending, liability assets expenses none is proud of investing somewhere.
Lipwa salary ukaenjoi you're filling the hole that can't be filled since dawn and until dusk you won't fill it.

None is proud by leaving inheritance to his grandchildren
Mkuu wengine tunaona kama unatusimanga! Hatujui lugha ya kigeni.
 
Back
Top Bottom