Kinyambe japo alikuwa anajipindisha mdomo ila alikuwa anapunchline za kuchekesha na logic za ajabu. Kuna ile anagoma kulipa hela ya bodaboda..Daah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Mnaingiaga kwenye show zake za niniDaah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Hahaha hiyo anagoma kulipa hela ya boda boda ndo huwa nikiangalia nacheka sana..na ile ya kujifanya mganga huku kashika laptop..jamaa alikua na Punchline za kuchekesha sana...daah na kuna wale wengine sijawajua vizur ila huwa wapo vizur sanaKinyambe japo alikuwa anajipindisha mdomo ila alikuwa anapunchline za kuchekesha na logic za ajabu. Kuna ile anagoma kulipa hela ya bodaboda..
sijawahi kuingia na siwez poteza muda wangu na sijawahi kukaa na kutazama show zake..zaidi huwa zinanibabatiza labda watu wanatazama napo sichukui hata dk 5 nasepa..na kuna hawa wa chanel ten sijui wanaitwa kanjanja time kile kipind kuna jamaa anaigiza kama mkongo yaaani hicho ndo ziro kabisa hata huwa sikielewi kinanzia wapi na kinaishia wapi.Mnaingiaga kwenye show zake za nini
Kuna dogo Mtanzania anaitwa Càptain Khalid anatisha ila naona show nyingi anafanya nje kuliko bongoChurchill ni kiboko mazee yaan ukutane na Pastor Kuria jaman mbavu zangu
100% Sio mchekeshajiDogo Idrisa Sultan alikuwa I-view Studio kama mpiga picha...ila akawa busy kubet mashindano ya nje, so akaangukia Big Brother. Kapata mkwanja think-tank wake wakamshauri kuwa kwasababu ameshakuwa celebrity, atafute shughuli ya kumantain hiyo status, basi akachagua kuwa Comedian...but purely, this guy has nothing to offer in Comedy Industry.
kuna wale majamaa waliokua wanaigiza eatv,mmoja wao alikua anajifanya yesu,yule naye yupo vizuri,mambo na vijambo sijui wapo wapi sasa hiviBongo wanaonichekesha ni
1. Majuto
2. Joti
3. Braza K
4. Jamaa yule wa mizengwe huwa yuko serious
In yeye's voice)Kila mara watu wanaonizunguruka(familia, rafiki, ndugu na jamaa) wamekuwa wakiniambia mimi ni comedian mzuri sana, nilikiwa siamin mpka siku niliyomsikia mc pilipili ndio mie nikajua basi naweza kweli kuwa mchekeshaji mzuri..
Nataman atokee mtu azifanyie remake zile mamboTulio wasikiza pwagu na pwaguzi zile enzi za mahoka tunajionea tabu kuwawangalia hawa vijana
Duh kweli hapo nimeamini kuwa hakuchekeshae wewe hanichekeshi mimi.Daah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Mara Mia nitazame Churchill Show ya kenya..hawa jamaa wapo vizur sana na standup commedy.
Jaribu kumuangalia Capt.Khalid youtube ila yeye anatumia kizungu nadhani ndio maana sio popular kwa wabongo!Idris kwangu ni the best comedian.
Hivi mchekeshaji kwenu nilazima avae makaptula makubwa na kujipaka masizi usoni.?