Kuna tofauti kubwa ya uchekeshaji na ufanyaji ujinga Idris Sultan ni mfanya ujinga sio mchekeshaji

Kinyambe japo alikuwa anajipindisha mdomo ila alikuwa anapunchline za kuchekesha na logic za ajabu. Kuna ile anagoma kulipa hela ya bodaboda..
 
Mnaingiaga kwenye show zake za nini
 
Kinyambe japo alikuwa anajipindisha mdomo ila alikuwa anapunchline za kuchekesha na logic za ajabu. Kuna ile anagoma kulipa hela ya bodaboda..
Hahaha hiyo anagoma kulipa hela ya boda boda ndo huwa nikiangalia nacheka sana..na ile ya kujifanya mganga huku kashika laptop..jamaa alikua na Punchline za kuchekesha sana...daah na kuna wale wengine sijawajua vizur ila huwa wapo vizur sana
 
Mnaingiaga kwenye show zake za nini
sijawahi kuingia na siwez poteza muda wangu na sijawahi kukaa na kutazama show zake..zaidi huwa zinanibabatiza labda watu wanatazama napo sichukui hata dk 5 nasepa..na kuna hawa wa chanel ten sijui wanaitwa kanjanja time kile kipind kuna jamaa anaigiza kama mkongo yaaani hicho ndo ziro kabisa hata huwa sikielewi kinanzia wapi na kinaishia wapi.
 
Mchekeshaji TZ ni Mzee Majuto peke yake. Halazamiki kuvaa matambala, kupaka wanja, kuvaa gauni au kujifanya chizi. He is talented
 
100% Sio mchekeshaji
 
Duh kweli hapo nimeamini kuwa hakuchekeshae wewe hanichekeshi mimi.
Japokuwa nakuunga mkono kwa hao akina Idris, Mc Pilili hata mimi hawanichekeshi ila hata marehemu Kinyambe pia nilikuwa naona ana force kiasi kwamba nilikuwa siwezi vumilia hata kutazama.
Lile group lao lote la vituko show nilikuwa sijawahi lielewa naona wanatumia nguvu sana kuliko vipaji...
 
Wachekeshaji tz ni Majuto, Joti, Kitale, Matata (wa Mizengwe), Ringo na mwenzake, Masanja, Mpoki, ...
 
Idris kwangu ni the best comedian.
Hivi mchekeshaji kwenu nilazima avae makaptula makubwa na kujipaka masizi usoni.?
 
Idris kwangu ni the best comedian.
Hivi mchekeshaji kwenu nilazima avae makaptula makubwa na kujipaka masizi usoni.?
Jaribu kumuangalia Capt.Khalid youtube ila yeye anatumia kizungu nadhani ndio maana sio popular kwa wabongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…