Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Jamaa yupo vizuri ..very smart.Jaribu kumuangalia Capt.Khalid youtube ila yeye anatumia kizungu nadhani ndio maana sio popular kwa wabongo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo vizuri ..very smart.Jaribu kumuangalia Capt.Khalid youtube ila yeye anatumia kizungu nadhani ndio maana sio popular kwa wabongo!
Churchill hauwezi kuifananisha na show yoyote ile ya hapa bongo "" Jamaa wanatishaDaah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Mara Mia nitazame Churchill Show ya kenya..hawa jamaa wapo vizur sana na standup commedy.
hapa hakuna cha haters ...Jamaa hajui kitu "" kwa hiyo wadau wote Hawa wanaosema kuwa idris hajui watakuwa wanamchukia....."" punguza bangi aiseeHaters wako kila mahali vijana pigeni kazi..
kwani kuna mtu aliyezungumzia suala LA mavazi hapa....""!! idris awe mchekeshaji na erick emond nae awe nani ?Idris kwangu ni the best comedian.
Hivi mchekeshaji kwenu nilazima avae makaptula makubwa na kujipaka masizi usoni.?
Sumaku,yule maneno yake lazima ucheke.Bongo wanaonichekesha ni
1. Majuto
2. Joti
3. Braza K
4. Jamaa yule wa mizengwe huwa yuko serious
Uko sahihi sana,abadilishe fani tu,mbona ziko nyingi...Dogo Idrisa Sultan alikuwa I-view Studio kama mpiga picha...ila akawa busy kubet mashindano ya nje, so akaangukia Big Brother. Kapata mkwanja think-tank wake wakamshauri kuwa kwasababu ameshakuwa celebrity, atafute shughuli ya kumantain hiyo status, basi akachagua kuwa Comedian...but purely, this guy has nothing to offer in Comedy Industry.
Yap yule yuko vizuri sanaSumaku,yule maneno yake lazima ucheke.
Acha utani hata akina abitoke, mjeshi na mparee.. Wale ndio watu wangu kwa sasa zaidi kuna Kash kash ya mizengwe..Ukiondoa Mpoki,Joti na Kitale wengine wote wanalazimisha fani lkn hawaiwezi uyo Idrisa na mc pilipil ndio kabisa
Kinyambe ni hovyo kabisa..bora ungetoa mfano mwingineDaah kiukweli nakuunga mkono 100% kwa sis ambao tunatafuta kucheka Idris sijui na yule Mc pilipili ni Zero kabisa katika fani ya uchekeshaji.
Sijawai furahia vichekesho vyao. Kuna watu wanajua kuchekesha kuna Marehemu Kinyambe(RIP) huyu hanichoshi kabisa nitacheka siku nzima, na wengine mara nyingi kipindi cha vituko Show cha cha chaneli teni kipind kile unacheka mpaka mbavu zinataka kuvunjika, Joti yupo vizur, mzee majuto...mpoki sio sana kivile
Mara Mia nitazame Churchill Show ya kenya..hawa jamaa wapo vizur sana na standup commedy.
Umalizie na sleepy david, jemutai na mc tricky saaaana uwiiiZaidi ya huyo awepo Professa Hamo na Mammito, siku yako itakuwa poa sana.
Uyo kitale muondoe piaUkiondoa Mpoki,Joti na Kitale wengine wote wanalazimisha fani lkn hawaiwezi uyo Idrisa na mc pilipil ndio kabisa